Wakifika huo umri tayari wanaanza kuonekana mashangaziKama utani hivi lkn just imagine mtoto aliyezaliwa nikiwa form three najikuta nampigia sound nikijuwa atakuwa na 27 kumbe ndo kwanza ana 19.
Kwa sifa zako Ilikuwa nikuunganishie chuma kimoja matata sana, mwajiriwa hapa Dar ila nimeona DINI zinakinzana hivyo hs
dah hapo haitowezekana maana mm mkristo na hatuwezi kubeza issue ya dini, ina umuhimu mnoKwa sifa zako Ilikuwa nikuunganishie chuma kimoja matata sana, mwajiriwa hapa Dar ila nimeona DINI zinakinzana hivyo haitafaa
Hongera sana Mungu akutanguliemambo vipi waungwana,
jamani mimi ni mwamba hapa 32 toka niwepo hapa duniani, napatikana pande za dar, mwajiriwa kwenye kampuni kubwa tu si haba kubadili mboga na hta kwenda kibaha kuulizia kiwanja sio issue kabisa,
mimi mwaka huu nataka nivute jiko maisha ya usela yanachosha ila sasa kipengele mama la mama hayupo, basi kama humu yupo naye yuko dilema ebu anicheki tuyajenge , kikubwa umri uwe kuanzia miaka 25 hadi 30 sio issue, ajitegemee , mkiristo,
karibuni sana
asante, amina ubarikiwe kwa kunipa moyoHongera sana Mungu akutangulie
Ogopa matapeli Dar hakuna "mume".napatikana pande za dar,
Oohooo basi mkuu nimefuta kauli.mwajiriwa kwenye kampuni kubwa tu si haba kubadili mboga na hta kwenda kibaha kuulizia kiwanja sio issue kabisa,
π³π³π³π³Eeeeeh jamani tena!! Basi sifuti kauli.ajitegemee
Hakikisha na ww bikra uwe hujachovyamwanangu bikra unawapata wapi
Kabisa tafuta wakufanana na wewe japo kwenye imani rafiki mtaenda sawa, niamini mimidah hapo haitowezekana maana mm mkristo na hatuwezi kubeza issue ya dini, ina umuhimu mno
πππMtoa mada hongera sanasote tunachoka kikubwa kichani, na asiwe single mother
Karibu tuyaajenge uwe malkia wanguπππMtoa mada hongera sana
Asante Kwa ukaribishoKaribu tuyaajenge uwe malkia wangu
π€£π€£π€£ tatzo domo zege linakusumbua ivi inakuaje mwanaume umeshafkisha 32s above et ujui kutongoza mpaka uje uku Jf uelezee uozo wako et sjui kubadilisha mboga syo shda, kununua kibaha syo haba π€£π€£π€£, ujinga tu hapo n unatuabisha ss vdumemambo vipi waungwana,
jamani mimi ni mwamba hapa 32 toka niwepo hapa duniani, napatikana pande za dar, mwajiriwa kwenye kampuni kubwa tu si haba kubadili mboga na hta kwenda kibaha kuulizia kiwanja sio issue kabisa,
mimi mwaka huu nataka nivute jiko maisha ya usela yanachosha ila sasa kipengele mama la mama hayupo, basi kama humu yupo naye yuko dilema ebu anicheki tuyajenge , kikubwa umri uwe kuanzia miaka 25 hadi 30 sio issue, ajitegemee , mkiristo,
karibuni sana
ilaumu ccm kaka sio mimiπ€£π€£π€£ tatzo domo zege linakusumbua ivi inakuaje mwanaume umeshafkisha 32s above et ujui kutongoza mpaka uje uku Jf uelezee uozo wako et sjui kubadilisha mboga syo shda, kununua kibaha syo haba π€£π€£π€£, ujinga tu hapo n unatuabisha ss vdume
πππilaumu ccm kaka sio mimi