Natafuta aina hii ya mbwa

Hilo likikasirika kama huna manati ya mzungu linkutanguliza fasta

Kidogo limtoe roho jamaa angu Mungu saidia alikuwa na manati ya mzungu akalitanguliza
Ni kweli kabisa hao mbwa(Doberman/Great Dane) ni wakubwa unatakiwa u handle with care.

Ni muhimu pia afanyiwe Socialization and obedience training. Nje ya hapo kuishi nae ni changamoto.

Sent from my CPH1819 using JamiiForums mobile app
 
Ni kweli kabisa hao mbwa(Doberman/Great Dane) ni wakubwa unatakiwa u handle with care.

Ni muhimu pia afanyiwe Socialization and obedience training. Nje ya hapo kuishi nae ni changamoto.

Sent from my CPH1819 using JamiiForums mobile app
Wanabongo watu wa ajabu sana unafunga mbwa lakini huonani naye,hao mbwa wanapenda sana michezo kama hachezi nae hukai naye jiandae siku akikasirika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…