peni yangu maisha yangu
Member
- Apr 20, 2024
- 56
- 117
Habari wana-JF.
Mimi ni binti Kwa sasa makazi yangu yapo Dar es Salaam
Natafuta Kazi au ajira katika taasisi au Kampuni zinazojihusisha na maswala ya umeme.
Nimesomea Fani ya umeme hadi Level three. (111).
Ninauwezo mkubwa wa kufanya shughuli hii Kwa ufanisi mkubwa na ninafundishika pia .
Ni msikivu na mchapakazi.
Sehemu ambazo naweza kufanya Kazi ni Kama umeme wa viwandani , majumbani na Tanesco .
Ikiwa kuna mtu anahitaji taarifa zangu za ziada naomba tuwasiliane Kwa hii Barua pepe
sajidamikidadi516@gmail.com
Au namba ya simu
+255 785 032 003
Mimi ni binti Kwa sasa makazi yangu yapo Dar es Salaam
Natafuta Kazi au ajira katika taasisi au Kampuni zinazojihusisha na maswala ya umeme.
Nimesomea Fani ya umeme hadi Level three. (111).
Ninauwezo mkubwa wa kufanya shughuli hii Kwa ufanisi mkubwa na ninafundishika pia .
Ni msikivu na mchapakazi.
Sehemu ambazo naweza kufanya Kazi ni Kama umeme wa viwandani , majumbani na Tanesco .
Ikiwa kuna mtu anahitaji taarifa zangu za ziada naomba tuwasiliane Kwa hii Barua pepe
sajidamikidadi516@gmail.com
Au namba ya simu
+255 785 032 003