Natafuta Ajira /kazi nimesomea Fani ya umeme jinsia KE

Natafuta Ajira /kazi nimesomea Fani ya umeme jinsia KE

Joined
Apr 20, 2024
Posts
56
Reaction score
117
Habari wana-JF.

Mimi ni binti Kwa sasa makazi yangu yapo Dar es Salaam

Natafuta Kazi au ajira katika taasisi au Kampuni zinazojihusisha na maswala ya umeme.

Nimesomea Fani ya umeme hadi Level three. (111).

Ninauwezo mkubwa wa kufanya shughuli hii Kwa ufanisi mkubwa na ninafundishika pia .

Ni msikivu na mchapakazi.

Sehemu ambazo naweza kufanya Kazi ni Kama umeme wa viwandani , majumbani na Tanesco .

Ikiwa kuna mtu anahitaji taarifa zangu za ziada naomba tuwasiliane Kwa hii Barua pepe

sajidamikidadi516@gmail.com

Au namba ya simu

+255 785 032 003
 
Acheni tabia za kiswahili kwanini msiwasiliane PM kuhusu mada zenu za ngono

We Dada upo useless unakosa tija nimekufatilia Sana kila mada mtu akiandika lazima uje uanze kujadili ngono.

Moderator Mpeni hata ban huyu anaboa Sana sijui yukoje Kwa kichwa
Ha haaa we mtu umekunywa chai leo?
Mambo ya ngono yanakukera? Unaye mpenzi?
 
Ha haaa we mtu umekunywa chai leo?
Mambo ya ngono yanakukera? Unaye mpenzi?
Usiharibu nyuzi za watu mkuu umri wako na mambo unafanya haviendani

Hawa jobless vijana wadogo wanapoanzisha mada zao sio busara wala hekima kuja na kuanza kujadili habari za ngono na uzinzi .


Umri wako ni mkubwa sana , unachofanya sasa hivi ndo hiyo mbegu itachupua kwako kesho au baadae so be smart .
 
Usiharibu nyuzi za watu mkuu umri wako na mambo unafanya haviendani

Hawa jobless vijana wadogo wanapoanzisha mada zao sio busara wala hekima kuja na kuanza kujadili habari za ngono na uzinzi .


Umri wako ni mkubwa sana , unachofanya sasa hivi ndo hiyo mbegu itachupua kwako kesho au baadae so be smart .
Wewe una matatizo ya akili.
Sio mimi nilieanza kuleta mambo ya ngono hapa..bali nilirespond comment ya mtu aliyeleta mambo ya kimasihara nikamwambia aache hayo mambo maana dada anahitaji kazi. Kosa langu nini?soma vzr uelewe kwanini nilijibu vile...niondolee nyege zako hapa we mtu. Tena kaa mbali.
 
Wewe una matatizo ya akili.
Sio mimi niliemyeanza kuleta mambo ya ngono hapa..basi nilirespond comment ya mtu aliyeleta mambo ya kimasihara nikamwambia aache hayo mambo maaana dada anahitaji kazi. Kosa langu nini?soma vzr uelewe kwanini nilijibu vile...niondolee nyege zako hapa we mtu. Tena kaa mbali.
Huu ujumbe najua umekuingia.

Wewe ni Mama tena aged Ila upo immaturity haujakomaa akili kabisa.

Leo hii Una miaka over 40 Ila haufikirii kuwa watoto watakuwa watasoma na hatimaye kuanza kutafuta Kazi na ajira je umewaza wakikutana na watu Kama wewe wanojadili mada za ngono na uzinzi katika maombi ya Kazi.


Usizeeke bila kukua hakikisha unakua na kuzeeka .

Shubamit!
 
Back
Top Bottom