Natafuta Ajira /kazi nimesomea Fani ya umeme jinsia KE

Natafuta Ajira /kazi nimesomea Fani ya umeme jinsia KE

Huu ujumbe najua umekuingia.

Wewe ni Mama tena aged Ila upo immaturity haujakomaa akili kabisa.

Leo hii Una miaka over 40 Ila haufikirii kuwa watoto watakuwa watasoma na hatimaye kuanza kutafuta Kazi na ajira je umewaza wakikutana na watu Kama wewe wanojadili mada za ngono na uzinzi katika maombi ya Kazi.


Usizeeke bila kukua hakikisha unakua na kuzeeka .

Shubamit!
Hakuna kilichoniingia...nakaribia 50 na nitacomment chochote kile ninachotaka as long as sivunji sheria za nchi. Kama hupendi comments zangu just ignore me. Nitaendelea kukukera kila siku. Mark my words!
 
Wewe una matatizo ya akili.
Sio mimi nilieanza kuleta mambo ya ngono hapa..bali nilirespond comment ya mtu aliyeleta mambo ya kimasihara nikamwambia aache hayo mambo maana dada anahitaji kazi. Kosa langu nini?soma vzr uelewe kwanini nilijibu vile...niondolee nyege zako hapa we mtu. Tena kaa mbali.

Sema wewe Kama ni mwanamke hamna mtu hapa.

Mada zako zinaonesha something is wrong upstair.
 
Back
Top Bottom