Natafuta Ajira /kazi nimesomea Fani ya umeme jinsia KE

Natafuta Ajira /kazi nimesomea Fani ya umeme jinsia KE

Wewe una matatizo ya akili.
Sio mimi nilieanza kuleta mambo ya ngono hapa..bali nilirespond comment ya mtu aliyeleta mambo ya kimasihara nikamwambia aache hayo mambo maana dada anahitaji kazi. Kosa langu nini?soma vzr uelewe kwanini nilijibu vile...niondolee nyege zako hapa we mtu. Tena kaa mbali.
Huyo sio mzima ana shida ya akili maana sijaona ulipokosea amekuja amefura kama amemeza kaa la moto. Huyu wa kumsamehe tu
 
Mnaom-attack huyo Demi (sijuwi ni mbibi or mshua or mshangazi or pisi... it ain't my fakin biznec) hampo sawa na hamtendi haki kwake. Msiruke ukurasa. 😎

Huyo Demi ndiye ameanza kuwakemea wadau wa kimasikhara wasiharibu uzi huu, via comments no. 3 & 7 respectively..

IMG_20250105_154942.jpg

IMG_20250105_154910.jpg


Sasa kosa lake ni nini? Acheni unaa wa kiduanzi. 😎

Kwa mwenye capacity na connections ndani ya taaluma husika, mshikeni mkono binti mleta mada apate kazi afanye maisha. Bongo mufilisi.

-Kaveli-
 
Mnaom-attack huyo Demi (sijuwi ni mbibi or mshua or mshangazi or pisi... it ain't my fakin biznec) hampo sawa na hamtendi haki kwake. Msiruke ukurasa. 😎

Huyo Demi ndiye ameanza kuwakemea wadau wa kimasikhara wasiharibu uzi huu, via comments no. 3 & 7 respectively..

View attachment 3193242
View attachment 3193243

Sasa kosa lake ni nini? Acheni unaa wa kiduanzi. 😎

Kwa mwenye capacity na connections ndani ya taaluma husika, mshikeni mkono binti mleta mada apate kazi afanye maisha. Bongo mufilisi.

-Kaveli-
Wengine tuna gundu mkuu. Inasikitisha sana
 
Back
Top Bottom