Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Mi ndo nishasemaMzee life langu tu lishanitolea uvivu, huku jf nitaishia kuharibu siku yako tu 😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi ndo nishasemaMzee life langu tu lishanitolea uvivu, huku jf nitaishia kuharibu siku yako tu 😂😂
Mimi nimewatag hawa jamaa kwa sababu najua ni electrical engineers nilitarajia uzi ungekua productive kwa na mtoa mada apate msaada amekuja bi mkubwa kusema naharibu sasa mimi kuwatag dronedrake na Poor Brain naharibu nini?? Kama sio amewaza yake tuMnaom-attack huyo Demi (sijuwi ni mbibi or mshua or mshangazi or pisi... it ain't my fakin biznec) hampo sawa na hamtendi haki kwake. Msiruke ukurasa. 😎
Huyo Demi ndiye ameanza kuwakemea wadau wa kimasikhara wasiharibu uzi huu, via comments no. 3 & 7 respectively..
View attachment 3193242
View attachment 3193243
Sasa kosa lake ni nini? Acheni unaa wa kiduanzi. 😎
Kwa mwenye capacity na connections ndani ya taaluma husika, mshikeni mkono binti mleta mada apate kazi afanye maisha. Bongo mufilisi.
-Kaveli-
We nyamaza tulia..Mimi nimewatag hawa jamaa kwa sababu najua ni electrical engineers nilitarajia uzi ungekua productive kwa na mtoa mada apate msaada amekuja bi mkubwa kusema naharibu sasa mimi kuwatag dronedrake na Poor Brain naharibu nini?? Kama sio amewaza yake tu
Mkuu 😁😁😁kule kwa ricky boy hao ni mafundi, wako na dr mmoja anajiita carlos the jakal aisee wamezifunua kinomaa
Unguja fani hiyo unapata kazi hotelini chap kabisaHabari wana-JF.
Mimi ni binti Kwa sasa makazi yangu yapo Dar es Salaam
Natafuta Kazi au ajira katika taasisi au Kampuni zinazojihusisha na maswala ya umeme.
Nimesomea Fani ya umeme hadi Level three. (111).
Ninauwezo mkubwa wa kufanya shughuli hii Kwa ufanisi mkubwa na ninafundishika pia .
Ni msikivu na mchapakazi.
Sehemu ambazo naweza kufanya Kazi ni Kama umeme wa viwandani , majumbani na Tanesco .
Ikiwa kuna mtu anahitaji taarifa zangu za ziada naomba tuwasiliane Kwa hii Barua pepe
sajidamikidadi516@gmail.com
Au namba ya simu
+255 785 032 003
Asante Sana , Ila naomba muongozo wa kufika hapo . ikiwa unao .Unguja fani hiyo unapata kazi hotelini chap kabisa
Yaani anapata mapema sana, wazungu wanambeba fasta. Tena ni Ke,mapema sana.Unguja fani hiyo unapata kazi hotelini chap kabisa
peleka CV kwa viwanda vya wahindi vile along Pugu Road (kuanzia Tazara mpaka Airport) vipo kulia na kushoto, huwezi kosaNimesomea Fani ya umeme hadi Level three. (111)
Safi sanapeleka CV kwa viwanda vya wahindi vile along Pugu Road (kuanzia Tazara mpaka Airport) vipo kulia na kushoto, huwezi kosa
na wenye setifiket ni chap
Nikumbuke ndugu yanguKwa sisi ambao tuna watoto wanatafuta vibarua .
Ninapoona Comments Kama za akina Demi inaumiza Kama mzazi 😭😭
Binti Mungu akuone
Ule mchakato upo Kama 70% tuendelee kuomba ukitiki nitakupatia mkuu .Nikumbuke ndugu yangu
Mda mwingine naingia humu kukutafuta wewe ndugu yangu
AMINAUle mchakato upo Kama 70% tuendelee kuomba ukitiki nitakupatia mkuu .
Dua zako zinafanya kazi nimeanza kufanya mazunguzo na watu naimani nitafanikiwa.