peni yangu maisha yangu
Member
- Apr 20, 2024
- 56
- 117
Unaharibu bro!
Nimeona profile yake..
Kwanini madamUnaharibu bro!
Hao unajua kwamba ni electrical engineers ukiachana na mambo ya kula tunda kimasihara??😀😀 pamoja na utani mwingineUnaharibu bro!
Mambo ya kimasikhara yaweke kando kwanza. Dada anahitaji kaziHao unajua kwamba ni electrical engineers ukiachana na mambo ya kula tunda kimasihara??😀😀
Mpeni kwanza kazi. Naona mende mmeanza kummendeaKwanini madam
Mimi nimetag hawa jamaa naamini dada atapata msaada ingekua ni health i could probably help..Mambo ya kimasikhara yaweke kando kwanza. Dada anahitaji kazi
Acheni tabia za kiswahili kwanini msiwasiliane PM kuhusu mada zenu za ngonoMambo ya kimasikhara yaweke kando kwanza. Dada anahitaji kazi
Ha haaa we mtu umekunywa chai leo?Acheni tabia za kiswahili kwanini msiwasiliane PM kuhusu mada zenu za ngono
We Dada upo useless unakosa tija nimekufatilia Sana kila mada mtu akiandika lazima uje uanze kujadili ngono.
Moderator Mpeni hata ban huyu anaboa Sana sijui yukoje Kwa kichwa
Usiharibu nyuzi za watu mkuu umri wako na mambo unafanya haviendaniHa haaa we mtu umekunywa chai leo?
Mambo ya ngono yanakukera? Unaye mpenzi?
Mkuu nipo kwenye hiyo kada ndio maanaMpeni kwanza kazi. Naona mende mmeanza kummendea
Daah Faza!Acheni tabia za kiswahili kwanini msiwasiliane PM kuhusu mada zenu za ngono
We Dada upo useless unakosa tija nimekufatilia Sana kila mada mtu akiandika lazima uje uanze kujadili ngono.
Moderator Mpeni hata ban huyu anaboa Sana sijui yukoje Kwa kichwa
Miss youHope utafanikiwa hitaji lako.
Wewe una matatizo ya akili.Usiharibu nyuzi za watu mkuu umri wako na mambo unafanya haviendani
Hawa jobless vijana wadogo wanapoanzisha mada zao sio busara wala hekima kuja na kuanza kujadili habari za ngono na uzinzi .
Umri wako ni mkubwa sana , unachofanya sasa hivi ndo hiyo mbegu itachupua kwako kesho au baadae so be smart .
How are you... coca ?Hope utafanikiwa hitaji lako.
Ha haaa wewe huyo hata maji ya kuoga hujui kuchemsha.Mkuu nipo kwenye hiyo kada ndio maana
Huu ujumbe najua umekuingia.Wewe una matatizo ya akili.
Sio mimi niliemyeanza kuleta mambo ya ngono hapa..basi nilirespond comment ya mtu aliyeleta mambo ya kimasihara nikamwambia aache hayo mambo maaana dada anahitaji kazi. Kosa langu nini?soma vzr uelewe kwanini nilijibu vile...niondolee nyege zako hapa we mtu. Tena kaa mbali.