Hakuna kilichoniingia...nakaribia 50 na nitacomment chochote kile ninachotaka as long as sivunji sheria za nchi. Kama hupendi comments zangu just ignore me. Nitaendelea kukukera kila siku. Mark my words!Huu ujumbe najua umekuingia.
Wewe ni Mama tena aged Ila upo immaturity haujakomaa akili kabisa.
Leo hii Una miaka over 40 Ila haufikirii kuwa watoto watakuwa watasoma na hatimaye kuanza kutafuta Kazi na ajira je umewaza wakikutana na watu Kama wewe wanojadili mada za ngono na uzinzi katika maombi ya Kazi.
Usizeeke bila kukua hakikisha unakua na kuzeeka .
Shubamit!
Wewe una matatizo ya akili.
Sio mimi nilieanza kuleta mambo ya ngono hapa..bali nilirespond comment ya mtu aliyeleta mambo ya kimasihara nikamwambia aache hayo mambo maana dada anahitaji kazi. Kosa langu nini?soma vzr uelewe kwanini nilijibu vile...niondolee nyege zako hapa we mtu. Tena kaa mbali.
Pole sana. Kwanini unajali? Mimi ni transgender!Sema wewe Kama ni mwanamke hamna mtu hapa.
Mada zako zinaonesha something is wrong upstair.
Sawa mkuuHakuna kilichoniingia...nakaribia 50 na nitacomment chochote kile ninachotaka as long as sivunji sheria za nchi. Kama hupendi comments zangu just ignore me. Nitaendelea kukukera kila siku. Mark my words!
Aisee hebu nionyeshe comment yangu ya mwanzo niliyoanzisha kimasihara.all the best Ila nyie mnaoleta habari za kimasihara mlaaniwe akiwemo Poor Brain , bibi Demi n.k
Mkuu ni vile ujajua..Ha haaa wewe huyo hata maji ya kuoga hujui kuchemsha.
Haya msaidie dada hapa apate kaziMkuu ni vile ujajua..
Let tell you something.. mimi ni muhitimu wa electrical engineering
Mkuu ebu jiheshimu hata kidogo.all the best Ila nyie mnaoleta habari za kimasihara mlaaniwe akiwemo Poor Brain , bibi Demi n.k
Mmmmh wewe kwani ni mdada...Haya msaidie dada hapa apate kazi
Hapana mkuuMmmmh wewe kwani ni mdada...
π³π³π³
basi msaidie sio unaanza kuuliza maswali na kuharibu uziMkuu nipo kwenye hiyo kada ndio maana
Hebu kuwa mkweli hapa kwenye huu uzi ni wapi nimekosea. Nionyeshe comment yangu ambayo nimekosea. Nipo radhi kurekebisha na kuomba msamaha. Nionyeshe tafadhali.All the best
Ila Demi na unakosea haujui ni aina gani vijana wanapambania tonge
God teach us to number our days
Sawa but don't lie to meHapana mkuu
Demi leo wapo na wewe mpaka ukomeeeee πππππComment ipi nionyeshe?
Na mimi nipo hapa kujua kosa langu. Nielewesheni tafadhali.Demi leo wapo na wewe mpaka ukomeeeee πππππ