Natafuta Ajira /kazi nimesomea Fani ya umeme jinsia KE

Huyo sio mzima ana shida ya akili maana sijaona ulipokosea amekuja amefura kama amemeza kaa la moto. Huyu wa kumsamehe tu
 
Mnaom-attack huyo Demi (sijuwi ni mbibi or mshua or mshangazi or pisi... it ain't my fakin biznec) hampo sawa na hamtendi haki kwake. Msiruke ukurasa. 😎

Huyo Demi ndiye ameanza kuwakemea wadau wa kimasikhara wasiharibu uzi huu, via comments no. 3 & 7 respectively..




Sasa kosa lake ni nini? Acheni unaa wa kiduanzi. 😎

Kwa mwenye capacity na connections ndani ya taaluma husika, mshikeni mkono binti mleta mada apate kazi afanye maisha. Bongo mufilisi.

-Kaveli-
 
Wengine tuna gundu mkuu. Inasikitisha sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…