Natafuta Ajira /kazi nimesomea Fani ya umeme jinsia KE

Mimi nimewatag hawa jamaa kwa sababu najua ni electrical engineers nilitarajia uzi ungekua productive kwa na mtoa mada apate msaada amekuja bi mkubwa kusema naharibu sasa mimi kuwatag dronedrake na Poor Brain naharibu nini?? Kama sio amewaza yake tu
 
Unguja fani hiyo unapata kazi hotelini chap kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…