Natafuta ajira za kibarua, nipo Mbeya

Natafuta ajira za kibarua, nipo Mbeya

Hapa mbeya kaka kama huna harakati. Dili la fasta Uselevenda. Huko utapatia mtaji wa Biashara ndogo. Jiajiri.. Shida nyi wasomi mnadharau kazi ndogo mwisho mnazeekea Home.
Unajua maana ya Kibarua ? Mpaka mtu aombe connection ya Kibarua ni kwamba hachagui kazi wala hana option.., Hizi utopian ideas kwamba kila mtu anaweza kuamka na kujiajiri sijui zimetoka wapi...

Kwahio unasema anadharau kazi alafu anatafuta kazi ya kibarua (au kibarua sio kazi)?
 
Watu wa mjini mna shida sana,si uende Vijijini msimu wa mavino huu umefika?

Pili.kazi ngumu za vibarua Huwa hazitafutwi kwenye mitandao kama jf ,ingia mtaani ukiona Kuna ujenzi nenda hapo ndio sehemu ya nafuu ya kuweza pata kibarua
Anakwenda kijijini kijiji gani ? Yaani bila kuuliza yeye anajiendea tu ? Kafanya la maana sana kuanzia hapa huenda akapata information (kutumia kila medium possible) na karne hizi mitandao ndio source kubwa ya information na JF ni mtandao wa kijamii kwahio jamii ipo hapa..., ni rahisi kuambiwa hapa kuna sehemu kuna ujenzi kuliko kuchoma nauli kila wanapojenga na kuulizia kama kuna kazi (mafundi wengi wana watu wao ikitokea kazi wanapigiana simu) wewe kama sio mtu wao wanaokujua uchapaji kazi wako mwanzo utakuwa mgumu...
 
Anakwenda kijijini kijiji gani ? Yaani bila kuuliza yeye anajiendea tu ? Kafanya la maana sana kuanzia hapa huenda akapata information (kutumia kila medium possible) na karne hizi mitandao ndio source kubwa ya information na JF ni mtandao wa kijamii kwahio jamii ipo hapa..., ni rahisi kuambiwa hapa kuna sehemu kuna ujenzi kuliko kuchoma nauli kila wanapojenga na kuulizia kama kuna kazi (mafundi wengi wana watu wao ikitokea kazi wanapigiana simu) wewe kama sio mtu wao wanaokujua uchapaji kazi wako mwanzo utakuwa mgumu...
Sahihi kaka....bila kuulizia humu nisingejua kwa wakati huu wapi michongo inaweza ikapatikani.

Nawashukuru sana wote waliochangia mungu awabariki....
 
Ingia mbeya vituo vya mabasi upige udayworker mkuu…wanaokota 20-30k per day
 
Haya mkuu ngoja abaki Home asubilie mawazo ya Wana Jf.. Ataliona Joto la Mbeya
 
Back
Top Bottom