Ni kweli kabisa. Ninapata ugumu kuelewa hivi kiingereza kinaweza kusignify elimu ya watu? Je kujua kuongea kiingereza ndiyo kuwa na elimu bora? Kwa maoni yangu tunakosea sana kuwaza hivyo. Putin kweli hajui kiingereza na dunia inamtambua. Lakini kutokujua kwake kiingereza hakuna maana kama hakuelimika. Mataifa mengi ya dunia hii wananchi wake hawajui kiingereza lakini tazama maendeleo ya China,Korea,Japan etc. Tunaweza kujilinganisha nao? Tuache kuamini kuwa elimu ni kujua kiingereza!Putin hajui kingereza hata kimoja lakini anaitikisa dunia
Sikupata intevriew ya ana kwa ana. Ninajua kuwa alipohutubia Baraza la Umoja wa Mataifa alikisoma hotuba, alitamka jina la katibu Mkuu wakati huo kuwa "Javia" Perezi de "Kuela" kwa kusoma Javier Perez de Cueller badala ya kutamka "Havia Perez de Cueya"Mbona hujamtaja Alhaji Mwinyi
Ha ha ha. Wadanganyika bwana!! Nawe unaona umepatia na unajua Kiingereza sana. Hapa anazungumzia appreciation na sio thanks ingawa inaweza kuwa ni synonym. Nilitarajia ungesema "Alitakiwa kusema = I really appreciate being here" ungekuwa umemsahihisha, ila ndio JF kila mmoja anajiona anajua na mwenziwe hajui.Alitakiwa kusema = i am thankful being here
Hayati B.WNitafurahi sana nikipata audio Clip ambayo itazidi dk 5 Rais wetu Mpendwa akichana mistari kwa kiingereza katika mahojiano au maelezo flani sehemu yoyote. Iwe imenyooka haijaungwa ungwa.
Nitafurahi sana. Tuachane na haya madai ya watu kuwa yeye huwa mara nyingi anasoma tu... Tunataka kuwaonesha watu kuwa hata amewahi hojiwa kwa English au akahutubia watu wa English.
Mpaka sasa ni Maraisi wawili tu wamewahi kuongea na Wasomi vyuoni. Mwalimu Julius K. Nyerere na Benjamini Mkapa. Hawa nimewahi wasikiliza. Kwa kweli tunahitaji miaka mingi kupata Marais Smart kama hawa wanaojiamini.
Mkapa hadi Midahalo alikuwa anakubali. Baada ya yeye hakuna ambaye amewahi kukubali midaharo.
Anaitikisa Ukraine [emoji1255]sio duniaPutin hajui kingereza hata kimoja lakini anaitikisa dunia
Hilo halina mjadala siyo kwamba kila anayekiongea amesoma, lakini kama alivyoeleza mchangiaji mmoja hapo juu tunafahamu wa TZ wengi sana walioshindwa kwenye interview za kazi za maana sana, siyo kwa sababu hawakusoma ila walishindwa kujitetea kwa kujibu maswali kwa usahihi. Matokeo yake majirani zetu wanazichukua fursa zilizoko ndani ya nchi yetu.Lugha yeyote ile maana yake ni mawasiliano baina ya wanadamu, kama mnaelewana kwenye hiyo lugha mnayoongea inatosha hivyo hivyo !! Lugha ya kiingereza sio maana yake kusoma sana, wapo wengi tu wanaongea kiingereza kizuri lakini hawana elimu yeyote kubwa,
Msipende kujidanganya. waTanzania tunahitaji sana kujua lugha kubwa za kimataifa. Huwezi kujilinganisha na say mjapan au mkorea eti nao wanatumia kilugha chao. Sisi ni nchi changamasikini, (msisitizo: Tanzania ni nchi changamasikini, masikini sana). Tunahitaji kujifunza kwa wenzetu waliokwishaendelea, tupate maarifa ya sayansi na teknolojia. Sasa Kama hatujui lugha yao tutawezaje kuiba teknolojia kwao?Hayati B.W
Mkapa alikuwa mwamahabari by professional hivyo kwake midahalo ilikuwa ni sehemu ya maisha; ni tofauti na mtu kama hayati JPM ambae by professional alikuwa anashinda maabara. Ila lugha sidhani kama ni kipaumbele sana wapo marais wa mataifa makubwa duniani hawaongei "English" la hawajui kabisa na bado dunia haishangai huu ulimbukeni tunao sisi tu.
Wivu tu huo. Mtakufa na vijiba vya roho mkifuatilia madhaifu ya Rais Samia. Samia yuko vizuri sana kwenye EnglishSamia hata maneno ya kawaida tu ya Kiingereza hajui kuyatamka vizuri.
Hata akiwa anasoma bado anashindwa kuyatamka.
Ni wa kawaida sana kwenye hiyo lugha.
Na hayuko vizuri kwenye kuongea.
Ukiona mtu anadai Samia yuko vizuri kwenye Kiingereza basi jua mtu huyo naye hiyo lugha inampiga chenga.
Uongo. Hayuko vizuri.Wivu tu huo. Mtakufa na vijiba vya roho mkifuatilia madhaifu ya Rais Samia. Samia yuko vizuri sana kwenye English
Huko USA kwenye UNGA, Paris kwenye COP 26 na Dubai anatumia lugha gani?Uongo. Hayuko vizuri.
Kumbe wewe hujui kiingereza. Unakuja tetea ujinga? Hujui kiingereza kabisa. Bora ungenyamazaWivu tu huo. Mtakufa na vijiba vya roho mkifuatilia madhaifu ya Rais Samia. Samia yuko vizuri sana kwenye English
UONGO πPutin hajui kingereza hata kimoja lakini anaitikisa dunia
Chawa wamekariri, wanadhani Put-in hajui English!The world has had the opportunity to see for themselves the Russian president's ability to speak in the current lingua franca. In 2013 Putin made a pitch in English for Russia to host the 2020 World Expo in Yekaterinburg, Russia's fourth-largest city. According to Kremlin spokesman Dmitry Peskov, Putin is an able speaker in English as well. Peskov told Rossiya 1, a Russian state-run television channel, that Putin speaks for himself in English when conversing with other foreign leaders on the sidelines of international summits. "He practically understands English completely and sometimes even corrects the translators," Peskov said
Kuna WAHUNI wanaamini kujua lugha moja tu ya Kiswahili ndo uzalendo. Bure kabisa!Mambo hayaishii hapo tu Mkuu, sheria zetu ziko kwa lugha ya kigeni zaidi. Na sidhani kwamba ni kosa Lisu kumsema mwanasheria mwenzake kushindwa kuongea kiingereza, maana mengi kwenye kozi zao yanafundishwa kwa kiingereza. Sasa utashangaa alipitia tundu lipi akaukwaa uanasheria. Na si hivyo tuu, msomi ni vizuri akaupinda mgongo afahamu angalau lugha kuu mbili ikiwepo moja ya kigeni. Kwani kiingereza nani alikudanganya ni lugha ya kutisha? Watu waache uvivu. Zipo nchi ukifika unakuta watu wengi wanaongea lugha nne. Niliwahi kufika duka moja uswiss nilipokuwa naulizia bei ya kitu kwa kiingereza, mara akaingia mteja, muuzaji akaanza kuongea naye kifarannsa, mara akaingia mwingine akaanza kuongea naye Kitaliano, mara akaingi mwingine wakaanza kijerumani. Nilipouliza inawezekanaje kirahisi namna hiyo nilijibiwa kuwa nchini mwao hiyo ni kawaida watu huongea lugha nne hadi tano.
Sasa kinachotushinda kujifunza mbili tu (ukiacha ya kabila lako) ni nini?.
Tuache kujilegeza tuhimizane tusonge mbele.
Wewe unayejua Kiingereza kuliko Mimi mbona unaandika kwa kiswahili hapa? Hebu leteni issues achaneni na mambo ya jikoni hapa JFKumbe wewe hujui kiingereza. Unakuja tetea ujinga? Hujui kiingereza kabisa. Bora ungenyamaza
Mbona kama una makasiriko sana sister? Kwani kuna ubaya gani mtu kutaka kusikia kitu anachopenda? You want me to write in English? Well, i have written now. Tell me what else do you want madam? You shouldnt be that much negative. We socialize here and share some experience. Why are you so bitter? Relax. Life aint that much tough. Smile my dear sister....you dont wanna get old so early. Do you?Wewe unayejua Kiingereza kuliko Mimi mbona unaandika kwa kiswahili hapa? Hebu leteni issues achaneni na mambo ya jikoni hapa JF
Waliomwalika ndio walipaswa kumwambia we appreciate your being here na sio yeye aseme i appreciate being here.Ha ha ha. Wadanganyika bwana!! Nawe unaona umepatia na unajua Kiingereza sana. Hapa anazungumzia appreciation na sio thanks ingawa inaweza kuwa ni synonym. Nilitarajia ungesema "Alitakiwa kusema = I really appreciate being here" ungekuwa umemsahihisha, ila ndio JF kila mmoja anajiona anajua na mwenziwe hajui.
Waliomwalika ndio walipaswa kumwambia we appreciate your being here na sio yeye aseme i appreciate being
Ni mawazo yako. Uko huru kutoa mawazo. Nadhani umeona nilikuwa natoa mawazo kuhusu nini. Kwa mujibu wa online dictionary moja ya maana ya appreciate ni "be grateful"Waliomwalika ndio walipaswa kumwambia we appreciate your being here na sio yeye aseme i appreciate being here.