Natafuta baba watoto

Kasoro mwaka 1 dah!

Sent from my A37f using JamiiForums mobile app
 
Me nlishakuombaga n mpk leo kimya.... Dohh! Iv ungekua ndo ww nimekufanyia ivo n unahitaj, ungejckiaje?.... Haupo fair kbsa

Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
uliniomba wapi maana hata pm sisomi
 
Mwe!

Sent from my TECNO_W4 using JamiiForums mobile app
 
Tatizo tunazidiana speed hata ss tunashindwa ndio maana tumegeukia upande wa pili

Sent from my A37f using JamiiForums mobile app
 
Nilikupm cku1 baada ya kuirecover account yangu.... Bt dohh mpk leo upo kimya, sawa kam hukusoma

Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
nishasema nilikuwa kwenye situation ambayo nisingeweza kuwa na mpenzi so ndo naanza upya mkuu kama hutaki sawa
 
nishasema nilikuwa kwenye situation ambayo nisingeweza kuwa na mpenzi so ndo naanza upya mkuu kama hutaki sawa
Ahaaa.... Kila lakheri mkuu

Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
 
miaka 38 na kuendelea mkuu .mimi nipo dar nimechoka kukaa peke yangu so nataka aliepo dar maana kuhama itakuwa shida kwangu
Noted

Sikaribii hata huko PM nisije kuchambwa manaake unaonekana mtata wewe hahaaaa

Wacha mimi wa Nyanguge huku ntafute saizi yangu
 
Inabidi uwe umeimarika kiuchumi kwa kauli hii shost, unaweza kumpata 40+ anakwambia mvumiliane yeye hana kitu.

We muache tu. Kina sisi wa miaka 25 ndo tuna mawe saivi halafu hatutaki
 
Mm vigezo vyote nimetimiza ,naweza kukupm?

Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
 
ahaaa mi mpole sana kwenye keybord ujasiri unakuwepo tu

We una umri gani na ukoje mbona huelezei sasa??

Halafu huo ujanja wa keyboard unavutia wajanja wenzio wa kiukweli ohoooo

Navaa helmet in case utarusha mawe.

Namsubiria mama kubwa Sky Eclat akishindwana na yule mkorea sijui teh teh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…