uran
JF-Expert Member
- Nov 11, 2013
- 10,392
- 15,948
Habari.
Natafuta binti wakusaidia kazi kidogo za ndani.
Awe na Umri at least kuanzia miaka 20 nakuendelea. Akiwa amefika Kidato cha Nne itapendeza sana.
Aweze kuishi kirafiki kabisa,
Nyumba ina Watu Wawili tu! Means yeye atakuwa watatu.
Atalipwa Tsh. 100,000/= kwa Mwezi. + Posho (kulingana na performance )
Free Accommodation (Chakula na Malazi).
Sehemu ya Kazi: Mikocheni DSM
Kama unasifa hizi na uko tayari, karibu PM tuzungumze.
Nb: Kufahamu kwenu au ndugu zako wa Karibu ni Muhimu sana na ni lazima.
~~~~
Updates...
05/11/2021.
Nilipata Pm nyingi kidogo kuhusiana na hii Kazi.
Bahati nzuri baada ya Mahojiano marefu nilibahatika kupata Mdada hadi sasa anafanya kazi vizuri sana.
Sasa Nahitaji tena Mwingine.
Sifa ziwe hizo hizo Tajwa hapo Juu.
Yaani angalau awe amefika kidato cha nne na Umri wake usiwe chini ya miaka 20.
Karibuni PM kwa mawasiliano kwa wale wanaohitaji.
Ukituma namba nakupigia, Tunazungumza.
Natafuta binti wakusaidia kazi kidogo za ndani.
Awe na Umri at least kuanzia miaka 20 nakuendelea. Akiwa amefika Kidato cha Nne itapendeza sana.
Aweze kuishi kirafiki kabisa,
Nyumba ina Watu Wawili tu! Means yeye atakuwa watatu.
Atalipwa Tsh. 100,000/= kwa Mwezi. + Posho (kulingana na performance )
Free Accommodation (Chakula na Malazi).
Sehemu ya Kazi: Mikocheni DSM
Kama unasifa hizi na uko tayari, karibu PM tuzungumze.
Nb: Kufahamu kwenu au ndugu zako wa Karibu ni Muhimu sana na ni lazima.
~~~~
Updates...
05/11/2021.
Nilipata Pm nyingi kidogo kuhusiana na hii Kazi.
Bahati nzuri baada ya Mahojiano marefu nilibahatika kupata Mdada hadi sasa anafanya kazi vizuri sana.
Sasa Nahitaji tena Mwingine.
Sifa ziwe hizo hizo Tajwa hapo Juu.
Yaani angalau awe amefika kidato cha nne na Umri wake usiwe chini ya miaka 20.
Karibuni PM kwa mawasiliano kwa wale wanaohitaji.
Ukituma namba nakupigia, Tunazungumza.