Natafuta Binti (Dada wakusaidia Kazi) Awe na Sifa hizi

Natafuta Binti (Dada wakusaidia Kazi) Awe na Sifa hizi

Status
Not open for further replies.
Huyu jamaa atafuti mfanyakazi anatafuta mke shauri yako .mimi ni shuhuda wa hili anampigia mdada usiku na mchana mara anataka kuonana na wakati kashamwambia ataki lakini jamaa bado anakomaa anamtaka kimapenzi,hovyo sana huyu jamaa.
Aisee

Kuweni makini watoto wa kike!
 
Hatimae kimenuka, ndomaana mimi nilipata wasiwasi baada yakuweka Tambo... Sijui mshahara 100k na make upurupu, Mara sijui mikocheni! Yaani zile sounds za kujimwambafy [emoji23][emoji23][emoji23].

Na Pale aliposema 'ukinitumia no. Nakupigia'. Ndo alipozidi kuniaminisha kwamba hapa hatafutwi mfanyakazi, Kuna agenda nyengine ya Siri nyuma ya pazia [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hatimae kimenuka, ndomaana mimi nilipata wasiwasi baada yakuweka Tambo... Sijui mshahara 100k na make upurupu, Mara sijui mikocheni! Yaani zile sounds za kujimwambafy [emoji23][emoji23][emoji23].

Na Pale aliposema 'ukinitumia no. Nakupigia'. Ndo alipozidi kuniaminisha kwamba hapa hatafutwi mfanyakazi, Kuna agenda nyengine ya Siri nyuma ya pazia [emoji23][emoji23][emoji23]
😆😆😆jamaa amezingua kinoma anamsumbua dogo tangu weekend mpaka leo.....ushawahi kuona mwenye uhitaji wa kazi analazimishwa kupewa kazi??sasa ndo anachofanya huyu jamaa.
 
Hatimae kimenuka, ndomaana mimi nilipata wasiwasi baada yakuweka Tambo... Sijui mshahara 100k na make upurupu, Mara sijui mikocheni! Yaani zile sounds za kujimwambafy [emoji23][emoji23][emoji23].

Na Pale aliposema 'ukinitumia no. Nakupigia'. Ndo alipozidi kuniaminisha kwamba hapa hatafutwi mfanyakazi, Kuna agenda nyengine ya Siri nyuma ya pazia [emoji23][emoji23][emoji23]
Kumpa mdada 100K ni tambo? Maana me nyumba nazozijua wadada wanapewa 100K+

Ukinipa no nakupigia, siku hizi mitandao mingi buku yako unapewa dk kibao.
Hapa mimi nina dk kibao all nets. Lete namba nikupigie 😂😂
 
😆😆😆jamaa amezingua kinoma anamsumbua dogo tangu weekend mpaka leo.....ushawahi kuona mwenye uhitaji wa kazi analazimishwa kupewa kazi??sasa ndo anachofanya huyu jamaa.
Yani kafanyaje? Mmepiga simu dogo wako akafanye hii kazi then ikawaje 😂
 
Huyu jamaa atafuti mfanyakazi anatafuta mke shauri yako .mimi ni shuhuda wa hili anampigia mdada usiku na mchana mara anataka kuonana na wakati kashamwambia ataki lakini jamaa bado anakomaa anamtaka kimapenzi,hovyo sana huyu jamaa.
May Day May Day! We are going down i repeat we are going down.
 
Huyu jamaa atafuti mfanyakazi anatafuta mke shauri yako .mimi ni shuhuda wa hili anampigia mdada usiku na mchana mara anataka kuonana na wakati kashamwambia ataki lakini jamaa bado anakomaa anamtaka kimapenzi,hovyo sana huyu jamaa.
Kwamba jamaa anataka ajipigie mbususu mwezi mzima kwa laki moja[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyu jamaa atafuti mfanyakazi anatafuta mke shauri yako .mimi ni shuhuda wa hili anampigia mdada usiku na mchana mara anataka kuonana na wakati kashamwambia ataki lakini jamaa bado anakomaa anamtaka kimapenzi,hovyo sana huyu jamaa.
Aisee.
Kuwa na heshima kabisa.
Tena ni vizuri ujiheshimu sana sana.
Kama ni wewe ulikuwa unataka kazi you are full ignorant.

Ulitaka nikupe kazi bila kufahamu kwako kwenu?
Sema nalinda Privacy za watu tu.
 
Hatimae kimenuka, ndomaana mimi nilipata wasiwasi baada yakuweka Tambo... Sijui mshahara 100k na make upurupu, Mara sijui mikocheni! Yaani zile sounds za kujimwambafy [emoji23][emoji23][emoji23].

Na Pale aliposema 'ukinitumia no. Nakupigia'. Ndo alipozidi kuniaminisha kwamba hapa hatafutwi mfanyakazi, Kuna agenda nyengine ya Siri nyuma ya pazia [emoji23][emoji23][emoji23]
Hujui uliza bossi.
 
[emoji38][emoji38][emoji38]jamaa amezingua kinoma anamsumbua dogo tangu weekend mpaka leo.....ushawahi kuona mwenye uhitaji wa kazi analazimishwa kupewa kazi??sasa ndo anachofanya huyu jamaa.
Pengine huyo Dogo lako hajakuweka wazi.
Anyway, nalinda Privacy za watu.

Huyo binti aliniambia Niende kwao Jumamosi ili nizungumze na Dada yake na tufanye makubaliano dada yake akiwepo.

Na kuna watu wengine nilishawakatoa kwenye huu mchakato.

Sasa jumamosi imefika nampigia simu hapokei nikapiga zaidi ya mara tatu baadae siku ikaisha Jumapili tena hakupokea.

Kilichonipa shida ni yeye kukubali kuwa atafanya kazi then baadae abadilishe maamuzi bila kunishirikisha.

Then si vizuri kumdhalilisha mtu kwa style hii.
Zungumza na mdogo wako vizuri.
Usikurupuke ndugu.
 
[emoji38][emoji38][emoji38]jamaa amezingua kinoma anamsumbua dogo tangu weekend mpaka leo.....ushawahi kuona mwenye uhitaji wa kazi analazimishwa kupewa kazi??sasa ndo anachofanya huyu jamaa.
Aisee.
Ngoja nikupuuze tu.
 
Kumpa mdada 100K ni tambo? Maana me nyumba nazozijua wadada wanapewa 100K+

Ukinipa no nakupigia, siku hizi mitandao mingi buku yako unapewa dk kibao.
Hapa mimi nina dk kibao all nets. Lete namba nikupigie [emoji23][emoji23]
Dadaangu usiweweseke kua makini ujue, Aya shauri yako...

Mi nishakuasa hivo.
 
Kumpa mdada 100K ni tambo? Maana me nyumba nazozijua wadada wanapewa 100K+

Ukinipa no nakupigia, siku hizi mitandao mingi buku yako unapewa dk kibao.
Hapa mimi nina dk kibao all nets. Lete namba nikupigie [emoji23][emoji23]
Hapo sifa ni ipi?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom