Natafuta binti wa kazi kwa ajili ya Mama Ntilie. Mshahara Tsh. 3,000/- kwa siku

Natafuta binti wa kazi kwa ajili ya Mama Ntilie. Mshahara Tsh. 3,000/- kwa siku

Hiyo laki moja inakupa shs shingapi kwasiku?kama inakupa hata elf50 kwa siku moe mwenzio hata elf5 aiseeh
 
Nina binamu yangua anafanya hiyo biashara anawadada wawili anawalipa elf5 kila mmoja tena yeye hao wanakula chakula cha mchana hapo hpo
 
daaaaaah wabongo sisi gubu tunazidisha aisee kwani kuna mtu kashikiwa fimbo mkuu? hebu weka ofa yako na ww umlipe mtu 50k per day ili umfundishe kwa vitendo
Sio gubu,3000 per day,angesema bila kupika chapati ni sawa,hv unajua chapati kuandaa ule unga kila siku baada ya muda hayo maumivu ya kifua si mchezo
 
Ndio nimebadili mama
Hii ajira sio forced labour jamani
Mbona viwanda vya nondo ambako moto ni zaidi ya degree 300 ba zaidi kuna watu wanalipwa kidogo na ham wahurumii?
Mm nina biashara kama hyo na nalipa 5000 per day,anaingia saa 12 asubuh saa 10jion tunafunga hesabu,na kwenye kukanda unga kuna zamu ya kukanda na hata siku nyingine mm mwenyewe pia nakanda.
Hii kazi ni ngumu mkuu tuwe tunawahurumia pia kama vile ni ndguzetu au wadogo zetu,sio kwa ubaya tunapeana mawazo tofauti
 
Shida hao wote wanaolalamika hawajawahi kufanya biashara hata ya pipi hawajui changamoto yoyote ya biashara..mshahara wa mama Ntilie kwa siku ni elfu 3-4 japo maeneo machache wanalipa elfu 5(kama mimi) hadi 6 mwisho na hapo uwe unauza kweli kweli vinginevyo utafunga asubuhi tu.
Hata mm nalipa 5000 mkuu,ila kazi ya kukanda ngano kwa 3000 inaumiza,tuwe na utu kidogo
 
Anahitajika mpishi.
Ajue kupika vyakula kama wali, ugali, pilau, chapati, supu, mboga za kusindikizia misosi tajwa hapo juu

Eneo la kazi ni Tabata Aroma. (Jiko la bar ya matongee pub)

MSHAHARA NI ELFU 4, Paid weekly

Piga simu ::: 0744033555
 
Mama ntilie na watu wa bar huwa wanahitaji mabinti kwa sababu nyingi tu.

Nadhani wanaume wanaelewa hili kwa kirefu..

Karibu supu kongoro mixer karafuu
Mmmmmh kwa maelezo haya huitaji mtu wa kazi uliyotaja ila ni nyingne.
Why mwanaume mwenye vigezo vyote akose nafas.
 
Ni posho sio mshahara lol.
Ni day worker hao na wakija tena kesho mnaandikishwa mnapiga kazi siku ikiisha mnamalizia kesho usipokuja hawakuulizi wala kukutafuta. Ndio maana unaona watu wanajaa getini kusubiri uteuzi
 
Mtaji wa laki 1 ungekuwa wewe ungelipa mshahara sh ngapi?

Jibu kama mtu anaejua kukokotoa Operation expenses mpaka kubakiza net profit, mtaji ubaki pale pale biashara isife
Ww ni mvivu mtaji wa laki moja unaajiri nn sasa uwo ni uvivu wa kufanya kazi afu pia ni muongo ww uwezi ajiri mtu kwa mtaji wa laki moja...ww ni mnyonyaji unatumia mtaji wa laki 1 lkn nyuma ya panzia co unataka kunyonya watu...
 
Sawa dada lakini mazingira ya biashara hayafanani...ndo maana nimesema hapo kuna sehemu wanalipa mpaka elfu 7.
Hata mm nalipa 5000 mkuu,ila kazi ya kukanda ngano kwa 3000 inaumiza,tuwe na utu kidogo
 
Mmh mkuu unataka kuwauza?

Kwa taarifa yako biashara ukishawakabidhi malaya tu unaua asubuhi na mapema ...mimi nikigundua malaya nafukuza sichelewi biashara inataka nidhamu.
Mama ntilie na watu wa bar huwa wanahitaji mabinti kwa sababu nyingi tu.

Nadhani wanaume wanaelewa hili kwa kirefu..

Karibu supu kongoro mixer karafuu
 
Buku 3 jamani 😳😳😳 hata kama atakuwa anakula hapo hapo lakini daah maisha haya 🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️
Dah....hapo ushangae sasa
Buku 3 jamani 😳😳😳 hata kama atakuwa anakula hapo hapo lakini daah maisha haya 🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️
Dah..wabongo bana mnashangaza sana...mshahara kitu gani kwani...kuna watu wanalipwa buku 5 kwa siku na wamepanga Masaki..cha msingi upate kazi..mshahara utapata humohumo..akili yako tu 🤣 🤣🤣🤭
 
Back
Top Bottom