Natafuta Binti wa kushare naye cost za nyumba

mkuuu nakushukuru sana
 
Naungana Na Mtoa Mada


Najitolea kuwa Dalalii wa kumpata

Hahahaa Live Long JF
mkuuu zawadi yako.tutakunywa beer samaki samaki masaki pamoja na elf 50 ya nauli ntakupa shariti binti awe mzr
 
Kwa nini usiajili mlinzi kwa usalaama wa mali zako?
Wacha hiyo janja janja yako ya nyege
 
Safi sana kijana.. uteseke kwanini!??
 
[emoji1] hii nchi ina watu wa hovyo sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…