mkuuuu mimi nalipa renti ya laki nne for moth unaamini bado sina pesa shezi kabisaUkishakula tunda na Kodi utalipa wewe mwenyewe na kumfukuza hautaweza maana anabaki kuwa mpangaji wako mwenzio ππππ dogo tafuta hela wanawake wanajitongozesha siku hizi acha kuhangaika utalogwa bure.
Mke wa rejarejaWakuuu habarini.
Naishi mbezi beach nimepanga nyumba nzima peke yangu sina familia natafuta binti wa kushare nae cost asiekuwa na familia ntampa chumba kimoja self kikubwa atalipa laki moja tu na mimi ntabakia na sehem yangu.
Nyumba ina vyumba vitatu na sebule.Pia ntamruhusu kutumia sebule yangu akihitaji bcoz mimi sina pia familia.Umri wangu miaka 34.
Nimefanya hvo kwasababu ya usalama mimi ni mtu wa kusafiri sana .
Natanguliza shukrani zangu za zati.
Wakuuuu mmekuza mada shezi kabisa nataka binti kwa ajili ya usalama wa mali zangu nikiondoka sitaki mwanaume
Mmama au bibi vipiWakuuuu mmekuza mada shezi kabisa nataka binti kwa ajili ya usalama wa mali zangu nikiondoka sitaki mwanaume
Love Allowance!Kinachonisikitisha,
Mtoa mada Anataka mbususu ya bure,
Afu kila ikifika mwisho wa mwezi alipwe Tena posho ya laki pesa taslimu.
Sasa Sijui hiyo laki atakayolipwa tuiiteje kitaalam?[emoji26]
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee wewe kweli ni Putin brain combine trumpWakuuu habarini.
Naishi mbezi beach nimepanga nyumba nzima peke yangu sina familia natafuta binti wa kushare nae cost asiekuwa na familia ntampa chumba kimoja self kikubwa atalipa laki moja tu na mimi ntabakia na sehem yangu.
Nyumba ina vyumba vitatu na sebule.Pia ntamruhusu kutumia sebule yangu akihitaji bcoz mimi sina pia familia.Umri wangu miaka 34.
Nimefanya hvo kwasababu ya usalama mimi ni mtu wa kusafiri sana .
Natanguliza shukrani zangu za zati.
Je tutashare costs za nyumba pekee au tutashare na mambo mengine ππ
Kabla ya kuchukua mtu wa kushare naye nyumba watu hufikiria yafuatayoKwanini awe binti sio wamama au wanaume wenzako
Wee tusije share na mbususu bureπ sitakiDada financial, namimi kuna mjengo hapo Zakiem nataka nikualike uje tushee rent cost. π
-Kaveli-
mkuuu wangu unaakili sana kama upo dar weekend kunabia zako.samakisamakiKabla ya kuchukua mtu wa kushare naye nyumba watu hufikiria yafuatayo
1. Usafi wa mtu wa Kushare
2. Usalama wa mali zake
3. Uwezo wa kulipa Kodi tarajiwa bila usumbufu
3. Ukubwa wa familia mtu anayoweza kuwa nayo (kuja nayo)
4. Aina ya marafiki mtu anao weza kuwa nao (kumtembelea)
Ukipitia hizo sababu zote kwa makini unaweza kuona, kati ya Binti, Mama na wanaume wenzake, nani atakuwa na maksi nyingi