Natafuta boyfriend atakayekuwa mume wangu baadae!

huwezi kunambia msichana mrembo wa aina yako kutoka pangani tanga, barabara ya watu wa asili ya mapenzi huna mchuchu hadi leo.
 
daah!!! Hata siamini mda wote huo hujawahi tongozwa na mwanaume yoyote yule? Kwa jinsi ulivotoa muonekano wako
 
Madam z kweli umjieleza vizuri nimekuelewa.mimi nipo ila elimu yangu 4m 4 nimeajiriwa na serikali mwalimu wa primary.i am 30yrs.nirushie namba zako tuongee zaidi.nibipu kwenye 0764013908 nikupigie
 
ni pm nikupe mapenzi ya dhati nina shahada ya uzamivu kwenye malavi davi!!!!!!!!!!!
 
0657416150 karibu sana
 

sawa naomba tuwasiliane kwa namba 0753082524
 
kama bado hujapata, niandikie kupitia altordenis@yahoo.com!
 
Waoaji wapo hapa ila inabidi uwe muangalifu na watakaotaka kukupotezea muda. Wenye bahati zao wamepata wachumba kupitia JF na sasa wako kwenye ndoa zao raha mustarehe. Kila la heri na baraka.
 
Sasa applications zote hizi si utahitaji recruitment agency? Kila la kheri mwaya.
 
Sasa applications zote hizi si utahitaji recruitment agency? Kila la kheri mwaya.
Siku hizi kutongoza ni janga la kitaifa. Ona madogo walivojilipua kwa namba zao za simu. Wangejua madam z ni bonge la basha sijui wangefanyaje.
 
Hahahaa. Usiniambie? Basi na mie nitoe namba hapa nibahatishe. Ngoja Maxence Melo aamke.
Siku hizi kutongoza ni janga la kitaifa. Ona madogo walivojilipua kwa namba zao za simu. Wangejua madam z ni bonge la basha sijui wangefanyaje.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…