Natafuta Chaja, Pin Kubwa

mzee watu wamekuaje una mpaka power bank?
Kwa ajili ya mambo ya dharura, sikuwa na namna. Nikajichukulia power bank tayari kwa vita wakati wowote.

Tanesco hawatabiriki
 
Mtafiti hebu naomba samare kidogo, nini kinajiri mahali hapa???
kuna mrembo charger aliokuwa anatumia haifany kaz vzur so ikaonekana charger yako mzee mwenzangu itasaidia kurudsha mawasiliano hewan...
shida muomba charger alikimbia hyo siku ulioenda na stop watch Raimundo njoo utoe maelezo hapa
 
kuna mrembo charger aliokuwa anatumia haifany kaz vzur so ikaonekana charger yako mzee mwenzangu itasaidia kurudsha mawasiliano hewan...
shida muomba charger alikimbia hyo siku ulioenda na stop watch Raimundo njoo utoe maelezo hapa
Kumbe ni yuleyule... mwambie akae kando, charger iko bize na wenye shida za ukweli.
 
Kwa Ava
Kwa Avatar hyo kweli pini ndogo haitoshi kwenye tundu kubwa,mtaani zipo ila kuzipata kazi na unaweza kupata ikawa haina nguvu za kutosha!Tafuta kiu ya reliable service itaisha mkuu!
 
mbona mimi nikisoma aya maelezo ya mleta uzi kiundani zaidi naona kama hazungumzii chaja mlizozielewa nyie!!! ona nikimcot apa "Pin ndogo haitoshi kwenye lile tundu la pin kubwa".
aaahhh... sio kwamba anamanisha vibamia havimtoshi kweli anataka dushe la maana!!?? hahahahahahaaa embu fikiria na wewe in three dimension apo utamuelewa fresh. Ngastuka aisee hii fursa kabisa hii embu ngoja nihamie pm [emoji125] [emoji125]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…