Kwa bongo anapaswa kuwa kipaji tu hayo mengine atafundishwa academyjaribu kuomba kushiriki mazoezi, kwenye academy za Azam au timu za kati za ligi kama unauwezo stahili ni rahisi kuchukuliwa chamsingi uwe na stamina, uelewa wa position unayocheza, maamuzi sahihi ukiwa na mpira pia uelewa wa majukumu ya namba yako......
Unacheza namba ngapi mkuu Man u kuna nafasi 2Mimi ni kijana wa miaka 19, Nina kipaji kikubwa Cha kucheza mpira wa miguu, urefu wangu ni futi7 na uzito wa 73kg, npo Temboni-KIMARA.
Naombeni msaada wenu wadau
3, 6, 7, 8 & 11Unacheza namba ngapi mkuu Man u kuna nafasi 2
Asante Sana nitalifanyia kaziNakupa Akili ambayo imewasaidia Wadogo zangu 2 wa Mtaani!
Walipanga kila mtu akatafuta mtu, kwa kutumia Simu wakawa wanashoot Mechi zote za mashindano, friend match n.k
Kama unavyojua Mechi za Ndondo zilivyo ngumu, Basi wakashoot Vipande vya kutosha...
Wakapata msaada Kwa Mtaalam wa Editing, aka edit Video zao, zikakaa kwenye mpangilio mmoja, mwanzoni madogo wanajielezea historia zao, umri, urefu n.k......
Kazi zikawa zimekamilika......
Wakaanza kuzisambaza kwenye Team za South Africa, kwa Scouts wa South Africa, wao wanasambaza tu kupitia Emails, social networks n.k.....
Baada ya week chake walinifata niwasaidie kupata Passport......
Kwa kifupi walienda South Africa, na mmoja baada ya mwaka mmoja alienda Ulaya, na mwingine ndo Yupo South Africa.....
Huyu wa Ulaya yupo kwenye Academy ya Ajax......
Huyu aliyebaki South Yupo kwenye Soccer Academy moja ina jina gumu kidogo nimesahau, waliondoka wadogo miaka 17 japo walishusha miaka 2 toka 19 mpaka 17....
Sasa Passport zao zinasoma wana miaka 19...
Walikua na Vipaji halisi Kwa kweli....
Kama nawe una Kipaji Unaweza kuwaiga Wadogo zangu hawa, huenda ikawa bahati yako.
Njoo stakhishari ata mimi nachezahapo miraji adam atakusaidia ni kocha wa vijana pale3, 6, 7, 8 & 11
Sio utalifanyia kazi tu, mfwate jamaa pm akupe namba ili ukimaliza akusaidie connection zaidi.Asante Sana nitalifanyia kazi
sitaji mengi aje pm aweke no yake mi nitampa sure boy wataongea wenyewe, yule jamaa hanaga shida
Nimekucheki pm umeona hyo no?sitaji mengi aje pm aweke no yake mi nitampa sure boy wataongea wenyewe, yule jamaa hanaga shida
yes nikiludi nitampaNimekucheki pm umeona hyo no?
Kama kawaida ya wabongo kukurupuka...hujasoma nimemuuliza urefu wake baada ya kutaja kilo zake,na comment niliyotoa after? tupunguze kukurupuka mzee,h ujasoma vizuri una comment tu.Kama kawaida ya wabongo. Yani mmeangukia kwenye umri na kilo!!
Kuna kitu kinaitwa bmi mnakijua kweli? Kwa huo urefu wake mnashangaa nini kuwa na uzito huo?
Umesharudi?yes nikiludi nitampa
Speed ninayo ya kutosha, natumia miguu yoteIla huo urefu unaweza kutoka nduki kweli,unatumia mguu gani japo kwa hizo namba nahisi itakua maleft,ila kwa ushauri kazania zaidi nafasi mbili ndo usonge nazo.namba 4 na 6 .ukicheza nafasi za ulinzi itakusaidia sana ila si namba tatu.
Mkuu kila mchezaji anatumia miguu yote ila upo ulio bora kuliko mwenzie.Speed ninayo ya kutosha, natumia miguu yote
Acha kukariri bana so mtu akiwa na kg nyng anakuwa kibonge?Tatizo we ni kibonge
Wengine siyo vibonge, wanakuwa na mifupa mizitoTatizo we ni kibonge
Uliongea na Sure boy?Acha kukariri bana so mtu akiwa na kg nyng anakuwa kibonge?