- Thread starter
- #41
Ok
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ok
Pale palePale jangwani au wap kiongz?
Au nenda Bwalon mtafute Sure boy,Aboubakary Salum mkubwa atakuambia cha kufanya.Naongelea Sureboy baba siyo mtoto wake wa Azam fc.Anakaa karibu na Juma K JumaPale jangwani au wap kiongz?
OwkeyPale pale
DarUnapatikana wp?
Kwanini tunashindwa kumuelewa dogo anachohitaji ni connection, kumwambia "nenda azam omba kufanya nao mazoezi" sidhani kama umemsaidia zaidi ya kumsumbua.Nenda Chamazi Azam, omba kufanya nao mazoezi
Miaka 19 na mchezaji mpira unakilo hizo basi ww boxer dogo inakufaa ndio maana huoni wakikusajiliMimi ni kijana wa miaka 19, Nina kipaji kikubwa Cha kucheza mpira wa miguu, urefu wangu ni futi7 na uzito wa 73kg, npo Temboni-KIMARA.
Naombeni msaada wenu wadau
Nakupa ushauri na wenzio uwambie:Mimi ni kijana wa miaka 19, Nina kipaji kikubwa Cha kucheza mpira wa miguu, urefu wangu ni futi7 na uzito wa 73kg, npo Temboni-KIMARA.
Naombeni msaada wenu wadau
Makurumla,Kinesi.Nikushauri tu Mdogo wangu connection kwenye soka tofauti na mziki au ajira zinazohusu masuala ya elimu kama uhasibu, sheria nk.
Soka mchezo wa uwanjani na connection zake hutokea hapohapo uwanjani hasa Kwa kinda anaetaka kutusua Kwa Mara ya kwanza.
Miaka19 uliyonayo unaweza kuona ni umri Mdogo lakini kwenye soka hasa Kwa kijana anaepambana kuonekana ni miaka mingi sana.
Kama unakipaji kweli kama ulivyozungumza basi umepoteza muda mwingi sana kucheza kwenye viwanja visivyoonekana, visivyokua na exposure maana yangu ni kuwa labda unakaa kimara bonyokwa, king'ongo, mpiji magohe, mabwepande kisemvule au chanika, kama ulikua unapiga tizi uko na maeneo ya namna hiyo utaishia kusifiwa ila ni ngumu sana kutoboa.
Jaribu kujichanganya, jaribu kutoka kwenda kwenye viwanja vya mchangani lakini ambavyo ata wachezaji wakubwa hutumia muda wao wa ziada kufanya mazoezi au hata kwenda kuangalia mazoezi mazingira hayo,
Mfano uwanja wa KIFA mburahati, manzese nyuma ya Polisi urafiki, uwanja wa karume tff. na vingine vingi wadau watanisaidia kuorodhesha ambapo hata ligi daraja la2 na 3 hufanyika katika viwanja hivyo, tumia hata nauli kufikia maeneo ya namna hiyo kuna viwanja vina historia ya kutoa wachezaji.
SwadaktaMakurumla,Kinesi.
Nimependa ushauri wakoNikushauri tu Mdogo wangu connection kwenye soka tofauti na mziki au ajira zinazohusu masuala ya elimu kama uhasibu, sheria nk.
Soka mchezo wa uwanjani na connection zake hutokea hapohapo uwanjani hasa Kwa kinda anaetaka kutusua Kwa Mara ya kwanza.
Miaka19 uliyonayo unaweza kuona ni umri Mdogo lakini kwenye soka hasa Kwa kijana anaepambana kuonekana ni miaka mingi sana.
Kama unakipaji kweli kama ulivyozungumza basi umepoteza muda mwingi sana kucheza kwenye viwanja visivyoonekana, visivyokua na exposure maana yangu ni kuwa labda unakaa kimara bonyokwa, king'ongo, mpiji magohe, mabwepande kisemvule au chanika, kama ulikua unapiga tizi uko na maeneo ya namna hiyo utaishia kusifiwa ila ni ngumu sana kutoboa.
Jaribu kujichanganya, jaribu kutoka kwenda kwenye viwanja vya mchangani lakini ambavyo ata wachezaji wakubwa hutumia muda wao wa ziada kufanya mazoezi au hata kwenda kuangalia mazoezi mazingira hayo,
Mfano uwanja wa KIFA mburahati, manzese nyuma ya Polisi urafiki, uwanja wa karume tff. na vingine vingi wadau watanisaidia kuorodhesha ambapo hata ligi daraja la2 na 3 hufanyika katika viwanja hivyo, tumia hata nauli kufikia maeneo ya namna hiyo kuna viwanja vina historia ya kutoa wachezaji.
Ahsante kwa ushauriSubiri Ndondo Cup. Mtafute Shaffih Dauda ndio wanaratibu. Kuna watu wanacheza league kuu wametoka Ndondo
Mtafute FB,Masau ni mwalimu sina uhakika shule gani ila Kinondoni,ukiacha usemaji pia Masau ni makamu mwenyekiti wa Ruvu shooting siyo mtu mdogo.Sasa namba za Masau Bwire napata wp kiongozi
kama anamtaka sure boy bwaloni ani pm ,atampata fastaAu nenda Bwalon mtafute Sure boy,Aboubakary Salum mkubwa atakuambia cha kufanya.Naongelea Sureboy baba siyo mtoto wake wa Azam fc.Anakaa karibu na Juma K Juma
Dogo achangamke Sasa asiishie kulia lia.kama anamtaka sure boy bwaloni ani pm ,atampata fasta
sitaji mengi aje pm aweke no yake mi nitampa sure boy wataongea wenyewe, yule jamaa hanaga shidaDogo achangamke Sasa asiishie kulia lia.
Kilo 73 sio mchezo
Mi mrefu na umbo langu kubwa
Tanzania tushampata Lukaku tayari
Mbona umri mdogo kilo Nyingi...??
Nenda kajifunze ubondia...uchezee vitasa, Mpira hapana...!!? 73Kg!!?
Miaka 19 kilo 73? una urefu gani labda?
Punguza kilo then njoo nikupe interview
Kama kawaida ya wabongo. Yani mmeangukia kwenye umri na kilo!!Miaka 19 na mchezaji mpira unakilo hizo basi ww boxer dogo inakufaa ndio maana huoni wakikusajili