Natafuta dada wa hiari

haya umenipata jamani...dada nipo tayari...ila napenda kujua umri wako ili nijue nitakua dada wa hiyari au mdogo wako wa hiyari.............


kwani wewe una miaka mingapi? ukiweza kutaja miaka yako hapa ntakuambia kama wewe ni mkubwa au mdogo. hata ukiwa mdogo wangu wa kike wa hiari hamna tatizo. Nacho taka ni undugu tu basi. but sipendi micharuko, yaani napenda mtu aliye tulia mwenye mawazo ya kujenga sikubomoa. mia
 

Naomba ufafanuzi kama hutamaindi...................hapa sijaelewa kitu wanaJF
 
Haya wa-dada , kaka wa hiyari huyo hapo, undugu si kuzaliwa pamoja , undugu ni pamoja na kufahamiana na kuelewana na kusaidiana. Rafiki wa leo ndio ndugu wa kesho. Kila la kheri mzee wa 100 !

hajataja ex-wavuta bangi so nime disqualify.
 
Kweli! Nashkuru kusikia hivyo, Madame B kakubadilikia kivipi, hebu nipm haraka nijue tatizo ni nini, yule toto letu bonge hajambo, ni mtundu balaa, mia
Mpe hi! sana dogo. mwanao mchangamfu sana. Madame B bana kanipotea kabisaa!!. mia
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…