figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
-
- #41
asante sana. wewe upo pande zipi?. naomba uniinbox kupitia figganigga@jamiiforums.com. miaOk, Karibu
Mkuu hapa ninacho zungumzia ni dada. natafuta dada, hayo mambo ya walio zaa tafuta hiyo thread ukacomment utajibiwa pia. thanx. mia
hajataja ex-wavuta bangi so nime disqualify.
hahahahaaa...!!! umeona eeh!?. miaDuh ... bona jamaa anazingua tena ....watu tunataka dada...
Mimi sijambo. wadogo zangu hawajambo?. miafigganigga mzee wa white party,mzima weye. mia.
je umekubali kuwa dada wa hiari katika shida na raha hadi kifo kitutenganishe?. miahahaha. safiii
asante sana. wewe upo pande zipi?. naomba uniinbox kupitia figganigga@jamiiforums.com. mia
Mimi hapa nipo dada wa hiari, ni mcheshi, nina tabia nzuri,adabu, mpole, ila cna sura nzuri ni wakawaida, na sauti yangu cjui ka ni nzuri, nitakufundisha njia inayopaswa, napenda mziki, kuogelea cwezi, napenda kuangalia movie zozote, ila za kutisha naogopa, na sinywi pombe wala kuvuta cgara,
Nadhani nitakuwepo kwenye bahati nasibu.
kwa hiyo wewe ikiniudhi unataka nisipate hata wa kunipa pole? Mia.
nafurahi sana kusikia hivyo dada yangu. will be there for one another. miamimi kukuudhi ni kitukisichowezekana kaka!
atantisha coz huwa naogopa sana. Habari za tng mkuu? uliadimika sana. wiki iloisha nlikuja huko nikakupigia simu lakini ilikua haiiti. nikija tena ntakwambia. miafigganiggaKama sura mbaya na sauti ya zege...undugu hauwezi kuwa?
No worries, nishtue basi mara nyingineatantisha coz huwa naogopa sana. Habari za tng mkuu? uliadimika sana. wiki iloisha nlikuja huko nikakupigia simu lakini ilikua haiiti. nikija tena ntakwambia. mia
nafurahi sana kusikia hivyo dada yangu. will be there for one another. mia