Natafuta dada wa hiari

Natafuta dada wa hiari

haina kwere, na mie natafuta dada wa hiyari. am a 26 of age! awe na tabia nzuri pia! nipm, and let's have a funny!
 
Mimi hapa nipo dada wa hiari, ni mcheshi, nina tabia nzuri,adabu, mpole, ila cna sura nzuri ni wakawaida, na sauti yangu cjui ka ni nzuri, nitakufundisha njia inayopaswa, napenda mziki, kuogelea cwezi, napenda kuangalia movie zozote, ila za kutisha naogopa, na sinywi pombe wala kuvuta cgara,
Nadhani nitakuwepo kwenye bahati nasibu.

Mambo? Upo? Ukishamaliza angalia ile ya movie ya ma-zombie na ma-vampires itafute series ya SUPER NATURAL !
 
figganiggaKama sura mbaya na sauti ya zege...undugu hauwezi kuwa?
 
Last edited by a moderator:
figganiggaKama sura mbaya na sauti ya zege...undugu hauwezi kuwa?
atantisha coz huwa naogopa sana. Habari za tng mkuu? uliadimika sana. wiki iloisha nlikuja huko nikakupigia simu lakini ilikua haiiti. nikija tena ntakwambia. mia
 
Last edited by a moderator:
atantisha coz huwa naogopa sana. Habari za tng mkuu? uliadimika sana. wiki iloisha nlikuja huko nikakupigia simu lakini ilikua haiiti. nikija tena ntakwambia. mia
No worries, nishtue basi mara nyingine
 
Back
Top Bottom