figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
Habari yenu mmu.Mimi natafuta dada wa hiari. Anaye jiskia mimi nimuite dada anakaribishwa. Lakini anatakiwa awe na tabia nzuri, mcheshi, adabu, sura nzuri na sauti nzuri. Vile vile awe na uwezo wa kunifundisha njia inayo paswa. wale madada mapepe wasinipm. wala kunitumia email. Mimi napenda mziki, kuogelea, kuangalia movie za action na zile za kutisha mfano wrong turn. Sijasema madada wanao kunywa pombe wana tabia mbaya na sija sema walokole ndo nawataka tu. Mimi atakaye nifurahisha poa. mia