Natamani nisingezaliwa
Senior Member
- Sep 9, 2024
- 112
- 265
Natumain ni wazima wa afya kwa mtu yeyote anaweza nisaidia jina la dawa na sehemu ya kuipata kuondoa michubuko sehemu ya haja kubwa pembeni ule utandu utandu wote uondoke
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sana!Natumain ni wazima wa afya kwa mtu yeyote anaweza nisaidia jina la dawa na sehemu ya kuipata kuondoa michubuko sehemu ya haja kubwa pembeni ule utandu utandu wote uondoke
SawaUngeenda hospital mkuu, nakumbuka uzi wako ule ila I don't judge, just nenda hospital kwa wataalamu.
Okay sawa nitafanya ivoPole sana!
Ni bora ukafika hospital ili daktari akuone na kuviona hivyo vipele/michubuko na akupatie dawa sahihi.
Tahadhari: hapa mtandaoni unaweza kushauriwa utumie dawa fulani lakini isiwe sahihi kwa tatizo/hali yako.
Pole sana!
AsantePole sana
Nimeacha ndio maana natafuta dawautandu utandu????? ukiacha kutamani wanaume wenzio ndio dawa
kumbe hii kitu inawadhuru namna hii? Mwogopeni Mungu na Mungu awasaidie.Niliharibiwa, nimepata uraibu wa kutamani Wanaume. Naomba msaada niweze kuacha
Mimi ni Mwanaume umri miaka 25 kipindi nipo Primary katika ukuaji wangu nishawahi kuingiliwa na ndugu yangu wa karibu akaniambia niseseme ikawa tabia yake ila sio mara kwa mara badae akaachaga kabisa. Mimi alikuwa ashaniharibu kisaikolojia na unavojua akili za utoto zile, nikafikirigi ni...www.jamiiforums.com
Nimeacha ndio maana natafuta dawa
Jamani mbona umeacha kabla ujanipa na mimiNimeacha ndio maana natafuta dawa
Hiyo ni kwa ajili yenu nyie machoko,muache kupelekeana moto japo mmepewa ruhusa ya kwenda kubarikiwa.kumbe hii kitu inawadhuru namna hii? Mwogopeni Mungu na Mungu awasaidie.
Nimeacha ndio maana natafuta dawa