Natafuta dawa ya kuondoa michubuko sehemu za siri (haja kubwa)

Natafuta dawa ya kuondoa michubuko sehemu za siri (haja kubwa)

never on earth will that happen, ni ushetani nisiopenda hata kuusikia. ila zanzibar, tanga, mombasa ndio maeneo yenu. acheni uchoko.ni dhambi.
Mchuchukue mumeo mkabarikiwe,ni ruksa kwa sasa,hao mabwana zako ndio wanalazimisha mpelekeane moto,nchi itakayopinga inawekewa vikwazo na vitisho,refer Museven alivyowapiga mkwala machoko.
 

Attachments

  • Screenshot_20240917_180738_Gallery.jpg
    Screenshot_20240917_180738_Gallery.jpg
    473.7 KB · Views: 7
Mchuchukue mumeo mkabarikiwe,ni ruksa kwa sasa,hao mabwana zako ndio wanalazimisha mpelekeane moto,nchi itakayopinga inawekewa vikwazo na vitisho,refer Museven alivyowapiga mkwala machoko.
mimi sijawahi kuwa mkatoliki tangu nizaliwe. huyo papa labda ni kiongozi wako sio wangu. Mimi nimeokoka, namwamini Yesu Kristo kuwa Bwana na Mwokozi wa maisha yangu, alikufa kwa ajili yangu na yako, alimwaga damu akalipa garama ya ukombozi wako, yakupata umpokee moyoni mwako ili upone moto wa milele. huko mliko mnajidanganya na mnasali na mashetani, sehemu yenu ni katika ziwa liwakalo moto na kiberiti. huu ni ushauri wangu kwako wa bure kabisa.
 
mimi sijawahi kuwa mkatoliki tangu nizaliwe. huyo papa labda ni kiongozi wako sio wangu. Mimi nimeokoka, namwamini Yesu Kristo kuwa Bwana na Mwokozi wa maisha yangu, alikufa kwa ajili yangu na yako, alimwaga damu akalipa garama ya ukombozi wako, yakupata umpokee moyoni mwako ili upone moto wa milele. huko mliko mnajidanganya na mnasali na mashetani, sehemu yenu ni katika ziwa liwakalo moto na kiberiti. huu ni ushauri wangu kwako wa bure kabisa.
YOHANA 5:36

"Mimi siwezi kufanya kitu kwa uwezo wangu mwenyewe,mimi nina hukumu kama ninavyosikia kutoka kwa Baba,
nayo hukumu yangu ni ya haki,nia yangu si kufanya nipendavyo mwenyewe bali apendavyo yule aliyenituma"

Hivi Mungu anaweza kutumwa? anatumwa na nani?
Soma maandiko wewe mwenyewe mlokole wewe,sio unasomewa tu na wewe umekaa kama Jiwe tu.
 
YOHANA 5:36

"Mimi siwezi kufanya kitu kwa uwezo wangu mwenyewe,mimi nina hukumu kama ninavyosikia kutoka kwa Baba,
nayo hukumu yangu ni ya haki,nia yangu si kufanya nipendavyo mwenyewe bali apendavyo yule aliyenituma"

Hivi Mungu anaweza kutumwa? anatumwa na nani?
Soma maandiko wewe mwenyewe mlokole wewe,sio unasomewa tu na wewe umekaa kama Jiwe tu.
tafsiri ya Mungu aliyoitoa mood, ni tofauti kabisa na ilivyo sahihi, ndio maana huwa tunasema mmepotezwa.

Mungu ni mmoja tu, ina anajifunua kwa namna tatu, amejidhihirisha kama Baba, amejidhihirisha kama Roho na amejidhihirisha kama Mwana wa Mungu. Maana ya mwana wa mungu ni Mtu aliye na asili ya Mungu ndani yake. na najua shida yako hapa ni Yesu kwanini aitwe Mungu. kwa kukusaidia, Mungu ni Roho na anaweza kutokea kwenye chochote, anaweza kuvaa mwili wowote. alivaa mwili wa Mwanadamu akajitokeza kama Yesu, ila Roho ni ile ile ya Mungu, na baada ya mwili uliokua umevaliwa kupaa, akaja kama Roho Mtakatifu pia. ni nafsi tu kama ulizo nazo wewe. hapo ulipo una mwili huo unaofanyia ugaidi na kufugia majini, pia una roho ambayo haionekani, na una nafsi ambayo ndo ina hizo hisia zako, kwasababu wewe ni mwanadamu huwezi kujihudhurishwa kwa namna mbalimbali, ila Mungu anaweza kujihudhurisha kwa namna mbalimbali kama nilivyoeleza ila ni yeye yule mmoja, sio wawili wala watatu.

na kwasababu alivaa mwili (though roho ni ile ya mbinguni) mwili ule ilikuwa halali umwite Mungu baba kwasababu alikuwa anaongea kimwili sio kiroho, kimwili kwasababu aliuwepo hapahapa duniani anaishi kama sisi. mwili uliovaa roho ya Mungu ulitaka aongeeje sasa?

yote katika yote, chukua uislam weka upande mmoja, chukua ukristo weka upande mwingine, hata kwa matendo tu na matunda, ipo wazi, dini yenu ni ya shetani, inaabudu na majini na mnaroho za uuaji na chinjachinja. hata mlevi ukimwamsha atakuambia hivi na wewe mwenyewe unajua hili. na kwa sababu hiyo, wanaoabudu Mungu wa kweli wanajulikana na wanaosindikiza mnajulikana.
 
tafsiri ya Mungu aliyoitoa mood, ni tofauti kabisa na ilivyo sahihi, ndio maana huwa tunasema mmepotezwa.

Mungu ni mmoja tu, ina anajifunua kwa namna tatu, amejidhihirisha kama Baba, amejidhihirisha kama Roho na amejidhihirisha kama Mwana wa Mungu. Maana ya mwana wa mungu ni Mtu aliye na asili ya Mungu ndani yake. na najua shida yako hapa ni Yesu kwanini aitwe Mungu. kwa kukusaidia, Mungu ni Roho na anaweza kutokea kwenye chochote, anaweza kuvaa mwili wowote. alivaa mwili wa Mwanadamu akajitokeza kama Yesu, ila Roho ni ile ile ya Mungu, na baada ya mwili uliokua umevaliwa kupaa, akaja kama Roho Mtakatifu pia. ni nafsi tu kama ulizo nazo wewe. hapo ulipo una mwili huo unaofanyia ugaidi na kufugia majini, pia una roho ambayo haionekani, na una nafsi ambayo ndo ina hizo hisia zako, kwasababu wewe ni mwanadamu huwezi kujihudhurishwa kwa namna mbalimbali, ila Mungu anaweza kujihudhurisha kwa namna mbalimbali kama nilivyoeleza ila ni yeye yule mmoja, sio wawili wala watatu.

na kwasababu alivaa mwili (though roho ni ile ya mbinguni) mwili ule ilikuwa halali umwite Mungu baba kwasababu alikuwa anaongea kimwili sio kiroho, kimwili kwasababu aliuwepo hapahapa duniani anaishi kama sisi. mwili uliovaa roho ya Mungu ulitaka aongeeje sasa?

yote katika yote, chukua uislam weka upande mmoja, chukua ukristo weka upande mwingine, hata kwa matendo tu na matunda, ipo wazi, dini yenu ni ya shetani, inaabudu na majini na mnaroho za uuaji na chinjachinja. hata mlevi ukimwamsha atakuambia hivi na wewe mwenyewe unajua hili. na kwa sababu hiyo, wanaoabudu Mungu wa kweli wanajulikana na wanaosindikiza mnajulikana.
Nimekupa Aya kutoka kwenye kitabu chenu halafu wewe unaniletea hizi hadithi za Sungura na Fisi?

Sina hata haja ya kusoma huu utumbo ulioupost hapo,
Wake up ili uutambue ukweli,acha kukaririshwa vitu ambavyo havipo.
 
Back
Top Bottom