Qashy Lilith
JF-Expert Member
- Aug 30, 2024
- 1,508
- 2,965
Ngoja aje😂Nimekutafutia hawa hapa, chagua mmoja;
Gifted Girl
Marcy
NoncChalant
Money Penny
Angalizo: Huyo wanne iwe option ya mwisho yaani No way out, balaa lake halizimiki!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja aje😂Nimekutafutia hawa hapa, chagua mmoja;
Gifted Girl
Marcy
NoncChalant
Money Penny
Angalizo: Huyo wanne iwe option ya mwisho yaani No way out, balaa lake halizimiki!
Ana hela? 😅Nimekutafutia hawa hapa, chagua mmoja;
Gifted Girl
Marcy
NoncChalant
Money Penny
Angalizo: Huyo wanne iwe option ya mwisho yaani No way out, balaa lake halizimiki!
Umenichoka adi unanigawa Kwa Shem wangu🤣🤣
Hapana My❤️, Wallet yangu umeikwangua yote, Sina cha kukupa tena, Anipokee!Umenichoka adi unanigawa Kwa Shem wangu🤣🤣
Nimekwangua wallet ila sijakwangua kwenye account babe♥️😭Hapana My❤️, Wallet yangu umeikwangua yote, Sina cha kukupa tena, Anipokee!
😂!
Mfyuuu Toka hukoo, Akaongeze urefu kidogo 😅
Kwahiyo love unataka nikupe na ile akiba ya kujengea, Tutalala wapi sasa jamani 😢.Nimekwangua wallet ila sijakwangua kwenye account babe♥️😭
That's an Insult for sure, Nani amekuandikia hii?Mfyuuu Toka hukoo, Akaongeze urefu kidogo 😅
Kuwa na amani nyumba za kupanga zipo 😍my world😂♥️👍Kwahiyo love unataka nikupe na ile akiba ya kujengea, Tutalala wapi sasa jamani 😢.
Sawa ntafanyaje,Ndo Nisha-fall, tutalala hata kichakani, pesa ya kodi uichukue wewe ♥️.♥️Kuwa na amani nyumba za kupanga zipo 😍my world😂♥️👍
Kichakani huogopi ntaumwa na nyoka? Dear ♥️Sawa ntafanyaje,Ndo Nisha-fall, tutalala hata kichakani, pesa ya kodi uichukue wewe ♥️.
😂!
Wewe tafuta wa miaka 12 hadi 16 ndiyo saizi yakoHabarini wapendwa,
Mimi ni kijana wa miaka 23 natafuta girlfriend (19-21) awe mwembamba akiwa na English body itakua sifa ya nyongeza urefu wangu ni 120cm sikumbuki vizuri, asiwe mfupi rangi yake sijali kikubwa awe na mvuto hasa akitabasamu.
Awe muongeaji ila sio mbea, awe anasuka ila sio kuweka wigi pia awe na upendo wa dhati na kuheshimu, sijali dini wala level ya elimu, mkoa wowote
Zuchu atakufaa dogo mchangamkie huyo demu asiye na ubaguzi wa dinidini wala level ya elimu, mkoa wowote
Mimi ni Snake antidote 😆!Kichakani huogopi ntaumwa na nyoka? Dear ♥️
😆
🤫🤫That's an Insult for sure, Nani amekuandikia hii?
Kweli my♥️?!Mimi ni Snake antidote 😆!