malembeka18
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 3,266
- 3,698
Habar wakuu ushauri wenu ni guta Gani ya kampuni gani nzuri imara...guta leenye nguvu imara ...nani wakala wa yupi kariakoo ana Bei nzur
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mkuu, hiyo ni biashara nilikuwa nadili nayo pamoja na bodaboda KWa kuwanunulia wadau wa mikoani na kutumiwa kabla sijakwenda Dodoma. Bahati nzuri nimerudi tena dar KWa muda, so kama utakuwa serious kununua nikufanyie wepesi wa kucheki bei, lakini pia kujua bajeti Yako ikoje.Niko dom nilitaka kuchukulia dar nijue Bei zake halisi nsije nkapigwa
Guta ipi ya kampuni Gani nzuri sinoray,wahooSawa mkuu, hiyo ni biashara nilikuwa nadili nayo pamoja na bodaboda KWa kuwanunulia wadau wa mikoani na kutumiwa kabla sijakwenda Dodoma. Bahati nzuri nimerudi tena dar KWa muda, so kama utakuwa serious kununua nikufanyie wepesi wa kucheki bei, lakini pia kujua bajeti Yako ikoje.
Binafsi huwa nashauri, kama bei ya manujuzi + gharama ya usafiri Iko juu kuzidi kununua huko ulipo,basi nashauri kumaliza jambo Hilo mahala ulipo. Utanambia ukiwa tayari nikufanyie kazi kabla sijarudi Dom.
Mkuu una maanisha nini bosi! Tuanzie hapo maana si Kila mtu ni mbaya.Kondoo anawindwa na fisi.
Sinoray ndio nataka cc250 au cc300..Kuna mtu nimeona ktk page yake anauza Cc250~6.6m,alafu cc300~6.8m Sasa sjui kanipiga hiyo Bei au...mim nataka yakubinukaPia ni vema kujua unataka guta ya kubinuka au lah! Kampuni zipo wanhoo, sinoray, kinglion, super tiger n.k na bei zinatofautiana bosi. Kiufupi Guta cc 250 bei yake inaanzia 6.5m hadi 7.8m kutegemeana na aina ya guta na kampuni na wauzaji au wakala.
Mimi nimeandika zanguMkuu una maanisha nini bosi! Tuanzie hapo maana si Kila mtu ni mbaya.
Mkuu una maanisha nini bosi! Tuanzie hapo maana si Kila mtu ni mbaya.
Mkuu, sidhani kama kuna cc 300 labda kama ni toleo la juzi nikiwa nje ya game lakini nachojua kuna cc 175, 200 na 250. Kama cc 300 ipo,basi haiwezi kuwa bei hiyo, utakuwa zaidi,kama kama ni mchina aliyechoka.Sinoray ndio nataka cc250 au cc300..Kuna mtu nimeona ktk page yake anauza Cc250~6.6m,alafu cc300~6.8m Sasa sjui kanipiga hiyo Bei au...mim nataka yakubinuka
''Wewe huko wapi'' ni sawa na kusema wewe hauko wapi? Kiswahili sahihi ni ''wewe uko wapi?''Sinoray cc 250 inakwenda hadi 6.9Milion na ina nguvu haswa.
Wewe huko wapi bosi. Sidhani kama kuna cc 300 labda useme 200cc.
Mkuu una maanisha nini bosi! Tuanzie hapo maana si Kila mtu ni mbaya.
Acha ushamba wa kibongo-bongo wa kuita kila mtu bosi.Mkuu una maanisha nini bosi! Tuanzie hapo maana si Kila mtu ni mbaya.
Hivi Kuna wakala mkubwa wa sinorayMkuu, sidhani kama kuna cc 300 labda kama ni toleo la juzi nikiwa nje ya game lakini nachojua kuna cc 175, 200 na 250. Kama cc 300 ipo,basi haiwezi kuwa bei hiyo, utakuwa zaidi,kama kama ni mchina aliyechoka.
Mkuu kichwa chako kizito huoni kama nityping errow tu hizo''Wewe huko wapi'' ni sawa na kusema wewe hauko wapi? Kiswahili sahihi ni ''wewe uko wapi?''
Sawa ni mawazo Yako kama ulivyoita mshamba, nadhani ndio akili Yako na naheshimu pia.Acha ushamba wa kibongo-bongo wa kuita kila mtu bosi.
Dah! Nimepokea masahihisho mkuu,ahsante.Mkuu kichwa chako kizito huoni kama nityping errow tu hizi