Natafuta hii tiba ya hili tatizo langu la macho na pua

Natafuta hii tiba ya hili tatizo langu la macho na pua

Dr Rutagwerera Sr

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2011
Posts
5,809
Reaction score
11,462
Habari wakuu.

Nina tatizo la kutokwa sana machozi nikiwa sehemu za baridi, na pia pua zangu zina tatizo la kitaalamu linaitwa Rhinorrhea (runny nose) pua zinakua zinatoa makamasi mepesi nikiwa sehemu za baridi.

Tatizo la kutokwa na machozi na makamasi pia hunipata nikiwa nakula chakula chenye moto. Tatizo hili limekua linaninyima raha na kujiachia (social embarassment).

Nishapoteza sana pesa kwa ENTs bila mafanikio. Wajuzi msaada
 
Mimi nipo iringa hili tatizo la pua kuziba linanisumbua sana hadi sasa baridi au katika hali ya kawaida ni shida ikiwa baridi hata nikimeza loritidine ambayo niliambiwa kila siku nimeze tatizo linakuwa lipo pale pale na dawa niliambiwa niwe ninameza kila siku inaitwa loritidine na spray inaitwa frinase
 
Mimi nipo iringa hili tatizo la pua kuziba linanisumbua sana hadi sasa baridi au katika hali ya kawaida ni shida ikiwa baridi hata nikimeza loritidine ambayo niliambiwa kila siku nimeze tatizo linakuwa lipo pale pale na dawa niliambiwa niwe ninameza kila siku inaitwa loritidine na spray inaitwa frinase
Pole sana hili tatizo kumbe wanalo wengi
 
Mimi nipo iringa hili tatizo la pua kuziba linanisumbua sana hadi sasa baridi au katika hali ya kawaida ni shida ikiwa baridi hata nikimeza loritidine ambayo niliambiwa kila siku nimeze tatizo linakuwa lipo pale pale na dawa niliambiwa niwe ninameza kila siku inaitwa loritidine na spray inaitwa frinase
Mimi huwa kuna wakati ikiwa katika mazingira ya baridi kiasi zinakua na ukavu sana. There must be a way out. Pole sana mkuu.
 
Ah bwana PhD wawe nazo wao tu watu wa jengo lile, mi nimeona wivu haiwezekani bwana. Nami nimejiongeza mwananzengo.
Basi walivyoona kuwa wewe ni doctor wa kusomea wakakuloga😀 unajua watu wana wivu sana. Wenzako wanalia wakimenya vitunguu wewe unalia tu ukicheka😀🤣
 
Kwani Google inasemaje?
Maana unaweza kupata majibu huko Dr
Mimi najua ni allergy tu hiyo inayokusumbua
Badili godoro litupe kabisa nunua jipya na bedding yote badili
Pia epuka vumbi lolote lile hata la chumbani pia
 
Back
Top Bottom