upo. mzima wewe mdogo wangu??
Haya jamani leo natafuta wa kutoka nae kwenda Miss Tanzania beauty contest.
Sijali sanaa jinsia mimi awe jinsia yyte ile, lakini ajilipie tiket mwenyewe na awe na uwezo wa kujihudumia like vinywaji nk. Mie nahitaj kampani tuuu mle ndani nisiboreke kwa kukosa wa kupia nae stori hata mkiwa wengi ni poa tu manake mime nataka nipate kampani tukitoka twaweza kutafuta kijiwe tukaruka mziki kidogo.
kama uko tayari nijibu hapa hapa kwenye hii post
hahahhhahahah!!!!!!!!!!!!Nimekuja mbio kwa furaha huku baada ya kuona ID yako kumbe ni hivi. Sasa na log-off kabsaa nlishaanza kupanga mistari ya kuandika kwenye PM ndani ya kichwa changu sasa Dahhh umenikata stim zoteeeee.