Natafuta kampani

Natafuta kampani

gfsonwin

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2012
Posts
18,272
Reaction score
20,692
Haya jamani leo natafuta wa kutoka nae kwenda Miss Tanzania beauty contest.

Sijali sanaa jinsia mimi awe jinsia yyte ile, lakini ajilipie tiket mwenyewe na awe na uwezo wa kujihudumia like vinywaji nk. Mie nahitaj kampani tuuu mle ndani nisiboreke kwa kukosa wa kupia nae stori hata mkiwa wengi ni poa tu manake mime nataka nipate kampani tukitoka twaweza kutafuta kijiwe tukaruka mziki kidogo.

kama uko tayari nijibu hapa hapa kwenye hii post
 
heee jamani leo huku hakuna anayetaka kutoka na mim?/
 
Nikikupigia simu utapokea? subiri mkutano wa jangwani uishe tuone ramani inasomaje.
unipitie home kama vipi. Mia
 
I wish, ila nipo mbali, wakati mwingine kampani za watu unaowajua zinaboa na story zinakuwa zile zile ni muhimu kubadiri flavor. Wewe ni mbunifu wa mambo.
 
Nipo tayar ni pm nikupe namba

utaenda kweli ama unanitania??
mie nitakua hapo mlimani city kuanzia saa moja usiku kama unakuja serious just tell
 
Nikikupigia simu utapokea? subiri mkutano wa jangwani uishe tuone ramani inasomaje.
unipitie home kama vipi. Mia

bhana kama unakuja just tell mie nitakuwa hapo mliman mishale ya saa moja
 
Usalama? :smash: :smash: :smash:
A%20S-fire1.gif
A%20S-fire1.gif
 
Nimekuja mbio kwa furaha huku baada ya kuona ID yako kumbe ni hivi. Sasa na log-off kabsaa nlishaanza kupanga mistari ya kuandika kwenye PM ndani ya kichwa changu sasa Dahhh umenikata stim zoteeeee.
 
Haya jamani leo natafuta wa kutoka nae kwenda Miss Tanzania beauty contest.

Sijali sanaa jinsia mimi awe jinsia yyte ile, lakini ajilipie tiket mwenyewe na awe na uwezo wa kujihudumia like vinywaji nk. Mie nahitaj kampani tuuu mle ndani nisiboreke kwa kukosa wa kupia nae stori hata mkiwa wengi ni poa tu manake mime nataka nipate kampani tukitoka twaweza kutafuta kijiwe tukaruka mziki kidogo.

kama uko tayari nijibu hapa hapa kwenye hii post

Twanzie mechi ya Simba na Mbeya City basi
 
Nimekuja mbio kwa furaha huku baada ya kuona ID yako kumbe ni hivi. Sasa na log-off kabsaa nlishaanza kupanga mistari ya kuandika kwenye PM ndani ya kichwa changu sasa Dahhh umenikata stim zoteeeee.
hahahhhahahah!!!!!!!!!!!!
ukafikiri nataka mume khaaa!!!
 
Back
Top Bottom