Natafuta kazi Arusha

Natafuta kazi Arusha

StaceyD

Member
Joined
Oct 26, 2021
Posts
7
Reaction score
8
Habari zenu
Natafuta kazi ya ofisini lakini pia nipo tayari kufanya kazi yoyote halali,mimi ni mwanamke,naishi arusha,nina miaka 33, elimu yangu ni certificate of human resource.
Natanguliza shukrani zangu.
 
Habari zenu
Natafuta kazi ya ofisini lakini pia nipo tayari kufanya kazi yoyote halali,mimi ni mwanamke,naishi arusha,nina miaka 33, elimu yangu ni certificate of human resource.
Natanguliza shukrani zangu.
kazi ya ofisin ndio kaz gani hiyo?
 
Habari zenu
Natafuta kazi ya ofisini lakini pia nipo tayari kufanya kazi yoyote halali,mimi ni mwanamke,naishi arusha,nina miaka 33, elimu yangu ni certificate of human resource.
Natanguliza shukrani zangu.
arusha sehem gani
 
Sales,marketing,receptionist,office administration,customer service etc
 
Habari zenu
Natafuta kazi ya ofisini lakini pia nipo tayari kufanya kazi yoyote halali,mimi ni mwanamke,naishi arusha,nina miaka 33, elimu yangu ni certificate of human resource.
Natanguliza shukrani zangu.
tUWASILIANE KAMA UTAWEZA FANYA KAZI YA KUFUNDISHA 0717157640
 
Back
Top Bottom