lady Jay
JF-Expert Member
- May 29, 2016
- 529
- 655
Habari zenu,heri ya mwaka mpya wapendwa.
Mimi ni mdada mwenye degree ya accounting na nina uzoefu kwa zaidi ya 5 years.Niko vizuri sana kwenye tax compliance zote za TRA na za serikali kama NSSF,WCF, Service levy,etc.
Pamoja na hayo yote,niko detail oriented na pia nina uzoefu wa accounting systems mbalimbali zikiwemo tally ,scala,quickbooks,etc..
Kwa anayetafuta mhasibu wa kumuajiri au wa muda please naomba hiyo nafasi. Pia,siyo uhasibu tu bali hata kazi za administration,marketing or related fields naweza fanya. Nikipata kwa Arusha nitashukuru sana.
Kindly help a sister.Maisha wamekua magumu na majukumu ni mengi. Thank you
Mimi ni mdada mwenye degree ya accounting na nina uzoefu kwa zaidi ya 5 years.Niko vizuri sana kwenye tax compliance zote za TRA na za serikali kama NSSF,WCF, Service levy,etc.
Pamoja na hayo yote,niko detail oriented na pia nina uzoefu wa accounting systems mbalimbali zikiwemo tally ,scala,quickbooks,etc..
Kwa anayetafuta mhasibu wa kumuajiri au wa muda please naomba hiyo nafasi. Pia,siyo uhasibu tu bali hata kazi za administration,marketing or related fields naweza fanya. Nikipata kwa Arusha nitashukuru sana.
Kindly help a sister.Maisha wamekua magumu na majukumu ni mengi. Thank you