Natafuta kazi ila nataka mwanamke, nitampa mahaba, masaji na kumfikisha kileleni

daj hii kweli tz ya viwanda naona sharobaro kajiongeza.
 
Kutukana utukane wewe na bado utake kujibiwa kwa upole..kwani una nini??
 
Mkuu umechelewa sana sababu wanawake wa siku hizi wamejanjaruka yaani ni kama yale Majini yanayovuta Bangi na kula Kitimoto. Hata uwamassage vipii mkimaliza mizinga bado ipo palepale! Utatekenya na pesa lazima utoe hahahaha...Sasa we tafuta hela tu.
 
Nenda kwa bimkubwa wako kijijini mfanyie hiyo spa..atasikia raha tuu. Usihangaike na wamama Wa mjini
 
Rebeca 83. Achan nae huyo njoo pm tuyajeng bana[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
Mkuu umechelewa sana sababu wanawake wa siku hizi wamejanjaruka yaani ni kama yale Majini yanayovuta Bangi na kula Kitimoto. Hata uwamassage vipii mkimaliza mizinga bado ipo palepale! Utatekenya na pesa lazima utoe hahahaha...Sasa we tafuta hela tu.
Asante kwa maoni. Ushauri wa bure: wanawake sio majini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…