Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli kabisa ndoa saiv ishakuwa ajira maana hela ya juu ya meza ndo mshaala wenyeweNjoo tukuoe tu..
Haha.. bro, amini nakuambia watu wengine huelewa ukubwani. Wakati punctuation marks zinafundishwa darasa la tatu na nne, walikuwa Bado wananyonya makamasi puani. Hawaelewi kitu.Mtu amalize degree alafu uje umfundishe irabu, sijui konsonati au kuandika.
Huko itakuwa kupoteza muda
Na wewe na mwandishi ni hao hao tu,huoni kua kakosea jina mpaka unakuja kukosoa hapa?Kwahiyo jina lake wewe unalijua kuzidi yeye muhusika wa jina?
Njoo unisaidiee kusimamia kesi yangu nitakulipa vizuriiHello naitwa agnes nimemaliza sheria chuo kikuu cha dar es salaam 0695703354
Wanawake wapo tayari kwa lolote ili tu kutimiza lengo lao .Ni stress za kazi ama ni nin ? Kwa nn mnakuwa wepesi sana kuweka namba public,,? Tangazo linaeleweka , mtu akiwa na uhitaji atakufuata pm, ! Aya wacha utongozwe uombwe na utapeliwe
Kazi ni bahati aisee.. wapo wenye hizo leseni na wanasota.. imefika time unajichanganya tu.. kwenye makampuni hata field tofauti.. even internship too hadi kielewekeJitahidi upate leseni ya uwakili ili ule maisha.
Sasa wewe ni Agnes au Jennifer?Hello naitwa agnes nimemaliza sheria chuo kikuu cha dar es salaam natafuta kazi 0695703354
GPA ya ngapi ?Hello naitwa agnes nimemaliza sheria chuo kikuu cha dar es salaam natafuta kazi 0695703354
Shida ilianza na migomo ya walimu 1993-97 ,ikafuata na Fix fix na zigzag za Waziri Mungai, kisha kuanza kwa shule za msingi na chekechea za private, kwani huko ndio msingi wa uandishi ulipoanziaKama taifa tujiulize tumefikaje huku?
Hongera sana Aggy kwa kuhitimu masomoHello naitwa agnes nimemaliza sheria chuo kikuu cha dar es salaam natafuta kazi 0695703354