Natafuta kazi, nimemaliza sheria Chuo Kikuu cha Dar es Salaam

Natafuta kazi, nimemaliza sheria Chuo Kikuu cha Dar es Salaam

Na wewe na mwandishi ni hao hao tu,huoni kua kakosea jina mpaka unakuja kukosoa hapa?
Mbna ujuaji mzee baba jibia alichouliza ila kuna waTz bn 😄 sasa hujajibu shida umeanza janjajanja hawa ndo hutaka wapigie magoti feeling proud of them selves.
 
kaishitaki serikali kwa kusaini mikataba mibovu, kwasababu una mtaji wa vifungu kichwani bibi Agy😋
 
Back
Top Bottom