Mzee Mambo
Member
- Jun 21, 2021
- 29
- 18
- Thread starter
- #21
Namba yako Tafadhali mkiiTuwasiliane
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namba yako Tafadhali mkiiTuwasiliane
Hata house boy ni Sawa tu mzee, mradi riziki ipatikaneJaribu kuweka kazi unazopenda kama hata ni kibarua mkuu unasema.
Pia pole ni mapito unapitia zinakuja nyakati nzuri.
Mana kazi yoyote utapewa afu utashindwa ujue.
Mana utaambiwa mtu anahitaji houseboy n.k Mana kazi hapa duniani ni nyingi Sana.
Ipo kaziAsalam WanaJF.
Naombeni mwenye connection ya kazi yoyote Ile ya halali, kwa kiwango chochote Cha ujira wenye kuhimili Maisha ya KITANZANIA.
Nipo tayari Kufanya kazi mahala popote Tanzania.
Umri wangu: miaka 25
Elimu : Shahada ( hii nimeweka endapo itahitajika CV)
Makazi: Dar es salaam
Natanguliza shukrani kwenu ndugu zangu.
Hii kazi bora kulima mpunga kijijin tuIpo kazi
Njoo makumbusho kwenye interview
Kazi ni kuuzaa mayai yaliyochemshwa
UtaanZA na mayai 24
Mshahara wako: tutagawana kitakachopatikana pass kwa pasu
Jamaa kasema kazi yoyoteHii kazi bora kulima mpunga kijijin tu
Asalam WanaJF,
Naombeni mwenye connection ya kazi yoyote Ile ya halali, kwa kiwango chochote Cha ujira wenye kuhimili Maisha ya KITANZANIA.
Nipo tayari kufanya kazi mahala popote Tanzania.
Umri wangu: Miaka 25
Elimu: Shahada ( hii nimeweka endapo itahitajika CV)
Makazi: Dar es salaam
Natanguliza shukrani kwenu ndugu zangu.
Ardhi University, 2021Umehitimu chuo gani? Mwaka gani? Working experience (if any?)