Habari wanaJF,
Mimi ni kijana wa kitanzania Umri 25. Nafuta kazi yoyote ya halali yenye kwa malipo ya fedha yoyote kwaajili ya kujikimu kimaisha.
Nina Degree YA PROPERTY AND FACILITIES MANAGEMENT.
Nipo tayari Kufanya kazi yoyote hata isiyo hitaji taaluma.
Asante.
Dar es salaam (Makazi