Natafuta kazi taaluma yangu ni Bachelor of Science in Chemistry Nipo Tayari Kufanya Kazi Ndani au Nje ya Taaluma Yangu

Natafuta kazi taaluma yangu ni Bachelor of Science in Chemistry Nipo Tayari Kufanya Kazi Ndani au Nje ya Taaluma Yangu

NISIKILIZE KAKA AKO HAPA

•Achana na mambo ya kuwaza ajira kwanza.

•Kazi zipo za kutosha mtaani ila zinahitaji uweke aibu pembeni.

•Kitaa kina matatizo kibao angalia unaloweza kulitatua kwa hiyo 300k waja wakupe pesa.

UKIONA HUELEWI KABISA NJOO UKU KUSINI NIKUPE KAZI YA KUPAKIA MBAO NA KUHESABU UKU UNAJIFUNZA HII BUSINESS.
 
Habarini Wana jf..... nimehitimu mwaka huu bachelor of science in chemistry lkn mpk sas sijapat ata sehem ya kujishikiza ata part time licha ya kuaapply internship sehem mbalimbali. natafuta kazi yoyote ata ya nje ya taaluma yangu.
kingine nina mtaji wa laki tatu msaada kwa mwenye wazo lolote la biashara inayolip ata kam faida ni ndogo 🙏
Mbona mapema mno? Hata madogo bado wanakuita “Kaka” tayari umeshaanza kulalamika? Subiri kidogo uanze kugombania nao vitumbua au waanze kumtongoza demu wako huku wakiwmambia huna mchongo na ulipo Mshua amepanga kukupeleka kijijini ukakae na bibi.
 
NISIKILIZE KAKA AKO HAPA

•Achana na mambo ya kuwaza ajira kwanza.

•Kazi zipo za kutosha mtaani ila zinahitaji uweke aibu pembeni.

•Kitaa kina matatizo kibao angalia unaloweza kulitatua kwa hiyo 300k waja wakupe pesa.

UKIONA HUELEWI KABISA NJOO UKU KUSINI NIKUPE KAZI YA KUPAKIA MBAO NA KUHESABU UKU UNAJIFUNZA HII BUSINESS.
Ubarikiwe mkuu
 
Habarini Wana jf..... nimehitimu mwaka huu bachelor of science in chemistry lkn mpk sas sijapat ata sehem ya kujishikiza ata part time licha ya kuaapply internship sehem mbalimbali. natafuta kazi yoyote ata ya nje ya taaluma yangu.
kingine nina mtaji wa laki tatu msaada kwa mwenye wazo lolote la biashara inayolip ata kam faida ni ndogo 🙏
Anza biashara ya umachinga.. Fungua duka uza herenj, chupi, boksa, saa nenda chimbo chukua mzigo kwa hiyo hela anza nayo faida ni nzuri
 
Mbona mapema mno? Hata madogo bado wanakuita “Kaka” tayari umeshaanza kulalamika? Subiri kidogo uanze kugombania nao vitumbua au waanze kukutongoza demu wako huku wakiwaambia huna mchongo na ulipo Mshua amepanga kukupeleka kijijini ukakae na bibi.
😀😀 Punguza ukali mkuu.
Kipindi hicho ndo utajua vitu vingine ni bidhaa.
 
Habarini Wana jf..... nimehitimu mwaka huu bachelor of science in chemistry lkn mpk sas sijapat ata sehem ya kujishikiza ata part time licha ya kuaapply internship sehem mbalimbali. natafuta kazi yoyote ata ya nje ya taaluma yangu.
kingine nina mtaji wa laki tatu msaada kwa mwenye wazo lolote la biashara inayolip ata kam faida ni ndogo 🙏
20240820_123558.jpg
Mkuu jaribu kujichanganya na watu, mtaji wako unaweza ona ni mdogo lakini kuna watu wana idea ila hawana mtaji, Jimix utakutana na watu wa aina hiyo ili uvumbue fursa mbalimbali pia.
"Usijifungie ndani WATU NI FURSA"
 
NISIKILIZE KAKA AKO HAPA

•Achana na mambo ya kuwaza ajira kwanza.

•Kazi zipo za kutosha mtaani ila zinahitaji uweke aibu pembeni.

•Kitaa kina matatizo kibao angalia unaloweza kulitatua kwa hiyo 300k waja wakupe pesa.

UKIONA HUELEWI KABISA NJOO UKU KUSINI NIKUPE KAZI YA KUPAKIA MBAO NA KUHESABU UKU UNAJIFUNZA HII BUSINESS.
Mkuu iyo biashara mtaji wa chini kuanzia inaweza kua sh ngapi?
 
Habarini Wana jf..... nimehitimu mwaka huu bachelor of science in chemistry lkn mpk sas sijapat ata sehem ya kujishikiza ata part time licha ya kuaapply internship sehem mbalimbali. natafuta kazi yoyote ata ya nje ya taaluma yangu.
kingine nina mtaji wa laki tatu msaada kwa mwenye wazo lolote la biashara inayolip ata kam faida ni ndogo 🙏
Daah! hii moment unayopitia ni ngumu ila haina jinsi jaribu uangalie fursa iliopo hapo ulipo na uifanyie kazi maana "unabarikiwa mkono ufanyao kazi"
 
Bwana mdogo mbona una lose control mapema sana, m nmemalza chuo 2016 mwanzon nlijrb kutafta shughul znazoendana na taaluma yng lkn baadae nlgundua napoteza muda, hvyo nkaamua kufanya vtu vngne kwaxx Nashukuru
 
Back
Top Bottom