kibobori mahoro
JF-Expert Member
- Dec 12, 2022
- 7,452
- 10,785
Kazi ni kazi ndugu, Ila uwe macho na mke wa bosi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kazi ni kazi ndugu, Ila uwe macho na mke wa bosi.
Ndio mkuu namsubiria anijibuUlifanya mawasiliano nae?!
0713491359 nipigieUko wapi ? Me natafuta kijana wa kukaa kwenye kiofis changu cha kuuza movies, mshahara maelewano, ofis iko Tabata chang'ombe
Hongera sanaa mkuu! Nakupongeza kwa kutoka mbele na kuwa muwazi.Wakuu nawashukuru sana nimepata kazi tena ya field yangu kabisa. Mungu awabariki
Asante mkuuHongera sanaa mkuu! Nakupongeza kwa kutoka mbele na kuwa muwazi.
Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
Boss asante tayari nimepata kazi nishaanza ambaye anatafuta mpatieKuhudumia ng'ombe na pilikapilika za nyumbani si unaweza mzee? Kulima lima?
Je unaweza kuja dar?
Poa poa mzee, kila la kjeri.Boss asante tayari nimepata kazi nishaanza ambaye anatafuta mpatie
Sasa mnama umesomea sheria kwenye u-houseboy si itakuwa kazi humo ndani?Nipo Moshi
Nimesoma diploma ya sheria
Pole sana mungu atakisaidia ajira zimekuwa tabu babdari inaletwa dp world tutaajiriwa wapi sasaBado sijapata mkuu ilinibid had niuze kigodoro changu nirud kijijin kwetu dah na stress had nimekata tamaa ya maisha
Kuna kampunicinaitwa UPAMI inashughulika na ajira na vibarua viwandani kwa siku 8000 uko tayaliWakuu natafuta kazi ya Houseboy au kibarua chochote.
Nipo tayari kwa mshahara kuanzia laki 1 (malazi na chakula juu ya boss).
Kazi nazoweza kufanya usafi wote, kutunza bustani na garden, kulisha kuku au nguruwe, kuosha magari pia kuuza maduka nina uzoefu.
Hivyo naomba yoyote aliye tayari kunishika mkono anicheki PM
Asante
Nipe namba nikuchekKuna kampunicinaitwa UPAMI inashughulika na ajira na vibarua viwandani kwa siku 8000 uko tayali
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Mitumba ni kutembeza au una goli?Njoo ukae kwangu pamoja na kazi ya uhouse boy utakuwa unaniuzia mitumba ndo nitakulipa hela unayoisema