Steve96
JF-Expert Member
- Aug 11, 2022
- 5,863
- 957
0620558696Kuna kampunicinaitwa UPAMI inashughulika na ajira na vibarua viwandani kwa siku 8000 uko tayali
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
0620558696Kuna kampunicinaitwa UPAMI inashughulika na ajira na vibarua viwandani kwa siku 8000 uko tayali
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
iko wapi hii mkuu?Kuna kampunicinaitwa UPAMI inashughulika na ajira na vibarua viwandani kwa siku 8000 uko tayali
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Tatizo huwa lipo kwa wake za mabosi!! Boss akisafiri ni tatizo kubwa!! Kumbukeni yaliyompata Yusufu wa kwenye Biblia!! Mke wa Boss unakuta anakuvalia kanga moja nyepesi!! Mungu awalinde ma-houseboy!!Kazi ni kazi ndugu, Ila uwe macho na mke wa bosi.
Kama kuna dereva basi huyu atakufaa kaka 0621083867 full licensedMkuu unaweza udereva? Kwa gari za Manual & Automatic?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119]We jamaa bana si mnyenyekevu kabisa katika uombaji wako wa kazi naona umejipangia ujira wako na majukumu yako kabisa umesahau kuna majukumu ya kufua nguo walizonyea watoto wa boss
Huyu hapa anatafuta kazi 0714484449. Ana leseni ya udereva class C Toka NITMkuu unaweza udereva? Kwa gari za Manual & Automatic?
Mbakaji huwezi pata kazi...Aisee we mwenzangu mbunifu uhouse boy inaweza kuwa rahisi kupata hebu nichakarikie namimi huko. Yaudarali nitakutoa maana zachuo nimekosa kabisa huu mwaka wa7.
Tofautisha poor brain na mbakaji hapo...Hahahaaa, jina sichochote katika kazi kikubwa ni performance asum we mwenyewe umesoma naunatafuta kazi so unaulizwa jina unasema POOR BRAIN wakifuata jina utapata kazi kweli?
UlipatA mtu tayari mkuuMkuu unaweza udereva? Kwa gari za Manual & Automatic?
Nitafute InboxBado sijapata mkuu ilinibid had niuze kigodoro changu nirud kijijin kwetu dah na stress had nimekata tamaa ya maisha
Hello Mr, Unaweza Niconnect huko 0627172443Kuna kampunicinaitwa UPAMI inashughulika na ajira na vibarua viwandani kwa siku 8000 uko tayali
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Ungekua hujakata tamaa ningesema unichekBado sijapata mkuu ilinibid had niuze kigodoro changu nirud kijijin kwetu dah na stress had nimekata tamaa ya maisha