DALALI MKUU
JF-Expert Member
- May 7, 2022
- 2,011
- 4,705
2.5k KWA SIKU/ LABDA UJENGE YA KWAKOWakuu niwasaidie kitu, kwenye kuanza biashara yoyote ile usifunge mkataba mnono na mwenye bar au nyumba. mwanzoni ikibidi mgrind to the maximum ukifanikiwa kwa hilo baadae utakuja kuishukuru hii comment yaani mfano hapo nimeona jiko per day 5k wewe funga nae siku 30 tu za matazamio kwa hiyo hiyo 5k yake kwanza, kisha ukijiridhisha na consumption ya bidhaa yako unafunga nae mkataba wa 2.5k per day..
Mkuu DALALI MKUU ikiwa huna mbinu lazima useme hivyo ulivyosema, ila kwakuwa watu wana mbinu tofauti kubali tu kuwa kuna watu wamekuzidi kitu fulani kwenye jambo fulani.2.5k KWA SIKU/ LABDA UJENGE YA KWAKO
Kiongee tu la elfu mbili labda upate huko kwenye migahawa ya uswahilini ila Bar mfano kama Kibozone jiko kwa siku ni 30k, Kitambaa Cheupe ndio usipime. Kuna bar moja kibaha nilikuwa nalipa elfu arobaini kwa kila siku na Lilikuwa jiko la kitimoto tu na SupuMkuu DALALI MKUU ikiwa huna mbinu lazima useme hivyo ulivyosema, ila kwakuwa watu wana mbinu tofauti kubali tu kuwa kuna watu wamekuzidi kitu fulani kwenye jambo fulani.
Maisha ya kila siku yanakupasa uulize sana maana ndio namna pekee ya kumfanya mtu aongee kile alichokificha rohoni.
Hiyo 30k ningekuwa na wewe ungelipa 10k tu na usingeamini bro.Kiongee tu la elfu mbili labda upate huko kwenye migahawa ya uswahilini ila Bar mfano kama Kibozone jiko kwa siku ni 30k, Kitambaa Cheupe ndio usipime. Kuna bar moja kibaha nilikuwa nalipa elfu arobaini kwa kila siku na Lilikuwa jiko la kitimoto tu na Supu
Nyakati zinabadilika nchi zinafilisika, mashirika ambayo ni multi million dollars yanacolapse sèmbuse individual bro?Wee muda wote uliofanya hiyo kazi mpaka ukabobea kiasi hicho ulishindwa kutafuta mtaji na kujiajiri mwenyewe.
sawa bwana mjuajiHiyo 30k ningekuwa na wewe ungelipa 10k tu na usingeamini bro.
Mpigieni simu muongee nae msimuulize maswali humuSwali Zuri.
Uzoefu wake ni Kwnye Kuuza tu au Kutengeneza kuanzia mbichi mpka inaenda kwa mteja.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hivi we JOHN MAXWELL bado tu unajihusisha na kazi za jikoni, wenzako wanakuogopa kwa kula order za watu ndiyo maana hawakupi kazi.
Vyote hivi unavifanya wewe?Pia tunaweza kupanua biashara kwa kuuza na chakula kama ugali, wali na ndizi.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣2.5k KWA SIKU/ LABDA UJENGE YA KWAKO
Nimeshapata kazi niliosomea forget about this ,Vyote hivi unavifanya wewe?
Hongera ila usisahau mbachao kwa msala upitao.Nimeshapata kazi niliosomea forget about this ,
Nimeshapata kazi niliosomea forget about this ,
Nilikuwa nimemwandikia mtu postBiashara inaendeleaje huko? Kila la heri.