Natafuta kazi ya jikoni - kuuza chipsi, kuku, supu n.k

Natafuta kazi ya jikoni - kuuza chipsi, kuku, supu n.k

Wakuu niwasaidie kitu, kwenye kuanza biashara yoyote ile usifunge mkataba mnono na mwenye bar au nyumba. mwanzoni ikibidi mgrind to the maximum ukifanikiwa kwa hilo baadae utakuja kuishukuru hii comment yaani mfano hapo nimeona jiko per day 5k wewe funga nae siku 30 tu za matazamio kwa hiyo hiyo 5k yake kwanza, kisha ukijiridhisha na consumption ya bidhaa yako unafunga nae mkataba wa 2.5k per day..
2.5k KWA SIKU/ LABDA UJENGE YA KWAKO
 
Wee muda wote uliofanya hiyo kazi mpaka ukabobea kiasi hicho ulishindwa kutafuta mtaji na kujiajiri mwenyewe.
 
2.5k KWA SIKU/ LABDA UJENGE YA KWAKO
Mkuu DALALI MKUU ikiwa huna mbinu lazima useme hivyo ulivyosema, ila kwakuwa watu wana mbinu tofauti kubali tu kuwa kuna watu wamekuzidi kitu fulani kwenye jambo fulani.
Maisha ya kila siku yanakupasa uulize sana maana ndio namna pekee ya kumfanya mtu aongee kile alichokificha rohoni.
 
Mkuu DALALI MKUU ikiwa huna mbinu lazima useme hivyo ulivyosema, ila kwakuwa watu wana mbinu tofauti kubali tu kuwa kuna watu wamekuzidi kitu fulani kwenye jambo fulani.
Maisha ya kila siku yanakupasa uulize sana maana ndio namna pekee ya kumfanya mtu aongee kile alichokificha rohoni.
Kiongee tu la elfu mbili labda upate huko kwenye migahawa ya uswahilini ila Bar mfano kama Kibozone jiko kwa siku ni 30k, Kitambaa Cheupe ndio usipime. Kuna bar moja kibaha nilikuwa nalipa elfu arobaini kwa kila siku na Lilikuwa jiko la kitimoto tu na Supu
 
Kiongee tu la elfu mbili labda upate huko kwenye migahawa ya uswahilini ila Bar mfano kama Kibozone jiko kwa siku ni 30k, Kitambaa Cheupe ndio usipime. Kuna bar moja kibaha nilikuwa nalipa elfu arobaini kwa kila siku na Lilikuwa jiko la kitimoto tu na Supu
Hiyo 30k ningekuwa na wewe ungelipa 10k tu na usingeamini bro.
 
Wee muda wote uliofanya hiyo kazi mpaka ukabobea kiasi hicho ulishindwa kutafuta mtaji na kujiajiri mwenyewe.
Nyakati zinabadilika nchi zinafilisika, mashirika ambayo ni multi million dollars yanacolapse sèmbuse individual bro?
Umeuliza swali lililonipa fadhaa sana.
 
Back
Top Bottom