Natafuta kazi ya kufanya aina yoyote

Natafuta kazi ya kufanya aina yoyote

P Accountant

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2020
Posts
371
Reaction score
182
Habari za wakati huu ndugu zangu.

Mie ni kijana wa kiume, ninaishi Dar es salaam. Natafuta kazi ya kufanya (kibarua) aina yoyote, walau niweze kuishi na kupata chakula. Hali nayopitia sasa ni ngumu sana.

Elimu yangu:
Shahada ya Uhasibu

Ujuzi:
Microsoft office
Excel
Computer

Kazi nazo weza kufanya.
√House boy
√Shamba boy
√Duka
√Wakala M-Pesa, Tigo pesa n.k
√Usafi wa mazingira
√Msaidizi fundi ujenzi
√Mhasibu
√Finance Officer

Uzoefu:
Mhasibu msaidizi (miezi sita)

Kwa taarifa zaidi karibuni inbox.

Naombeni mnipe kazi wakuu wangu, hali ngumu sana.
 
Habari za wakati huu ndugu zangu.

Mie ni kijana wa kiume, ninaishi Dar es salaam. Natafuta kazi ya kufanya (kibarua) aina yoyote, walau niweze kuishi na kupata chakula. Hali nayopitia sasa ni ngumu sana.

Elimu yangu:
Shahada ya Uhasibu

Ujuzi:
Microsoft office
Excel
Computer

Kazi nazo weza kufanya.
√House boy
√Shamba boy
√Duka
√Wakala M-Pesa, Tigo pesa n.k
√Usafi wa mazingira
√Msaidizi fundi ujenzi
√Mhasibu
√Finance Officer

Uzoefu:
Mhasibu msaidizi (miezi sita)

Kwa taarifa zaidi karibuni inbox.

Naombeni mnipe kazi wakuu wangu, hali ngumu sana.
Is Education every thing or Experience of a Work, Why Cv Don’t Work
 
Habari za wakati huu ndugu zangu.

Mie ni kijana wa kiume, ninaishi Dar es salaam. Natafuta kazi ya kufanya (kibarua) aina yoyote, walau niweze kuishi na kupata chakula. Hali nayopitia sasa ni ngumu sana.

Elimu yangu:
Shahada ya Uhasibu

Ujuzi:
Microsoft office
Excel
Computer

Kazi nazo weza kufanya.
√House boy
√Shamba boy
√Duka
√Wakala M-Pesa, Tigo pesa n.k
√Usafi wa mazingira
√Msaidizi fundi ujenzi
√Mhasibu
√Finance Officer

Uzoefu:
Mhasibu msaidizi (miezi sita)

Kwa taarifa zaidi karibuni inbox.

Naombeni mnipe kazi wakuu wangu, hali ngumu sana.
Jichanganye na mafundi ujenzi
AU
Nenda KKKT kimara korogwe....hutakosa kazi za kusaidia fundi.....
 
Back
Top Bottom