P Accountant
JF-Expert Member
- Sep 26, 2020
- 371
- 182
- Thread starter
- #21
Asante MkuuKila la kheri mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante MkuuKila la kheri mkuu
Asante Boss, tayari nilipata.Kama hujapata kazi nicheck PM
msaada mkuu kifaa changu hakina uwezo pm nicheki plz +255625544723Kama hujapata kazi nicheck PM
Unaishi wapimsaada mkuu kifaa changu hakina uwezo pm nicheki plz +255625544723
kigomaUnaishi wapi
Okay...ukiwa dar kama mambo hayajaenda sawa nichekikigoma
dah!, okayOkay...ukiwa dar kama mambo hayajaenda sawa nicheki
Unategemea kulpwa tshs ngap kwenye uwakala ?Habari za wakati huu ndugu zangu.
Mie ni kijana wa kiume, ninaishi Dar es salaam. Natafuta kazi ya kufanya (kibarua) aina yoyote, walau niweze kuishi na kupata chakula. Hali nayopitia sasa ni ngumu sana.
Elimu yangu:
Shahada ya Uhasibu
Ujuzi:
Microsoft office
Excel
Computer
Kazi nazo weza kufanya.
√House boy
√Shamba boy
√Duka
√Wakala M-Pesa, Tigo pesa n.k
√Usafi wa mazingira
√Msaidizi fundi ujenzi
√Mhasibu
√Finance Officer
Uzoefu:
Mhasibu msaidizi (miezi sita)
Kwa taarifa zaidi karibuni inbox.
Naombeni mnipe kazi wakuu wangu, hali ngumu sana.
UTapata nakuombea kwa MunguHabari za wakati huu ndugu zangu.
Mie ni kijana wa kiume, ninaishi Dar es salaam. Natafuta kazi ya kufanya (kibarua) aina yoyote, walau niweze kuishi na kupata chakula. Hali nayopitia sasa ni ngumu sana.
Elimu yangu:
Shahada ya Uhasibu
Ujuzi:
Microsoft office
Excel
Computer
Kazi nazo weza kufanya.
√House boy
√Shamba boy
√Duka
√Wakala M-Pesa, Tigo pesa n.k
√Usafi wa mazingira
√Msaidizi fundi ujenzi
√Mhasibu
√Finance Officer
Uzoefu:
Mhasibu msaidizi (miezi sita)
Kwa taarifa zaidi karibuni inbox.
Naombeni mnipe kazi wakuu wangu, hali ngumu sana.
Hongera sana,Asante Boss, tayari nilipata.
nipatie mimi mkuuHongera sana,
Mi Sina kazi mkuu nami ni mtafutaji tu kama wewenipatie mimi mkuu
Asante sana MkuuHongera sana,
Habari mkuu,,Okay...ukiwa dar kama mambo hayajaenda sawa nicheki
DP yako hamna mtu anaweza kuiona akakupa kazi.Habari mkuu,,
Nauliza endapo unahitaji mtu ambaye yupo dar es salaam kuhusu issue ya kazi, Kama ulivyo eleza kwa comment ya mshikaji.
Nikumbuke na Mimi mkuuOkay...ukiwa dar kama mambo hayajaenda sawa nicheki