Natafuta kazi ya kufundisha fani ya uhazili

Natafuta kazi ya kufundisha fani ya uhazili

Joined
Jan 2, 2023
Posts
6
Reaction score
5
Naitwa Andrew Timothy natafuta nafasi ya kazi ya kufundisha fani ya Secretarial.

Nina uzoefu wa miaka miwili katika ufundishaji katika masomo ya Shorthand, Hatimkato, Secretarial Duties, Office practice, Typing Lakin pia Enterpreneurship Education and training..! Niko DSM

Email: andreatimotheo1@gmail.com
Simu: 0626865971/0678865971
 
Back
Top Bottom