Mtafutaji Asiyechoka
Member
- Feb 15, 2021
- 77
- 88
Hello,
Mimi ni mhitimu wa chuo kikuu UDSM mwaka jana. Sijasomea ualimu lakini nina passion ya kufundisha hasa masomo ya Physics, Chemistry na Biology kwa O level na Chemistry na Biology pekee kwa A level.
Taaluma niliyosomea ni Aquatic science and fisheries technology na kwa sasa siwezi kupata urahisi katika taaluma yangu. Naomba msaada wakuu.
Mimi ni mhitimu wa chuo kikuu UDSM mwaka jana. Sijasomea ualimu lakini nina passion ya kufundisha hasa masomo ya Physics, Chemistry na Biology kwa O level na Chemistry na Biology pekee kwa A level.
Taaluma niliyosomea ni Aquatic science and fisheries technology na kwa sasa siwezi kupata urahisi katika taaluma yangu. Naomba msaada wakuu.