Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ni wapi mkuuKi hiace Daladala utaweza kuleta hesabu 50 kwa Siku? Nimeona Hizo C ndago unazo waeza Kuamsha gari Saa Kumi na Moja na kulaza saa mbili usiku unasaidiana na Dereva Mwenzio yupo Kazini Daily.
Kwa mwenye leseni yenye D inatakiwa iwe imetumika ndani ya miaka 2
Nipe connection mkuu nina iyo leseni
Nahisi sikumwelewa vizuri kumbe alikuwa anazunguza kuhusu N.I.T V.I.P COURSEAkupe connection gani sasa ndugu yangu...?
Babu usipede kuweka picha ya leseni yako humu watu wanaweza tumia namba yako ya leseni matokeo yake utakuta madeni kibao hata huyajuwi.Habari naitwa Harold mkazi wa Dar es salaam kinyerezi nipo hapa kutafuta kazi ya udereva
Elimu yangu
kidato cha 4
Chuo cha usafirishaji (NIT) corse ya VIP
Leseni yangu class A B C1 C2 C3 D
Mawasiliano yangu
0718 669921
0762395595
View attachment 1665882View attachment 1665883